Kama unakosa matumaini kwa ajili ya kagera shuga basi wewe gongo wazi FC au una DNA za gongo wazi. Wana msimbazi wakati wote tuna roho ya ujasiri kama alivyo mfalme wa mwitu (simba) kila kilichopo mbele yetu kwetu ni halali yetu. ni sawa na myama simba anaweza kudhamiria kumtafuna swala ikitokea kaponyoka hiyo ni bahati mbaya. vivyo hivyo hata kwa timu yetu vitimu vyote kwetu ni halali yetu mungu katupa kama mawindo yetu ya kila siku ila kuna bahati mbaya huwa vinatuponyoka ko hiyo ni kawaida huwezi ukafanikiwa kuua kila windo lililopo mbele yako.