Hawa watoto ndio maana wanafail aisee

AAAAh mkuu mi naomba namba yake tu ya simu tafadhali tena umesema mzuri duh. maisha yenyewe mafupi ila kumbuka yanaweza kuwa marefu pia.
 
Rafiki yako ana nia nzuri na wewe..kama vpi lete namba ya hako kabinti kazuri nikashughulikie.
 
Kweli we ni bunju . Embu nitupie namba yake na hutaona akikusumbua tena .
 
Juma anasema
Tia chai Roza
Tia maziwa
Tia Sukari...

Juma na Roza wanasoma shule
Shule yao inaitwa Mtakuja.
Ni Shule nzuri
Ina bustani za maua na matunda.
 
Kaka Sangarara asante sana kwa kushare experience na sisi. Nami naomba namba yake ili nikuepushie matatizo kwenye ndoa yako. mbona mimi ambae sijaoa havinisumbui sana zaidi ya salamu tu asbh nikienda kazini? au niko serious mno? usisahau kunipa nmba, kama yeye alivyopata namba yako, basi na mimi naomba namba yake
 
Usijaribu kuendelea na mazungumza na huyo binti na wala usimhusishe mama wawili kwani hakuna issue ya kujadli naye zaidi ya kujiongezea stress zisizo na msingi kwenye ndoa yako. Nenda kwenye simu yako na block hii namba kwa usalama wako vin
ginevyo umekwisha!
 
Sidhani kama hii issue ni kubwa kiasi hicho
Kwanza mlaumu sana huyo rafiki yako kwa kugawa namba yako bila ridhaa yako maana hiyo ni mbaya sana
Pili mweleze wazi huyo binti anayejua kuwa una mke na watoto bado anakufuata kutaka kuiharibu familia yako
Mwambie wazi kuwa huna mpango huo (kama kweli una nia ya kufanya hivyo maana unaweza kuwa na roho ya sitaki nataka) na unaiheshimu ndoa yako na suala sio kuwa una mke mkali wala nini ila unamuheshimu na unamheshimu mke wako
Na epuka mazingira ya kukutana nae au kukaa nae sehem ambako mko wawili tuu maana hiyo ni hatari nyingine (iwapo chanya na hasi zikikaribbiana)
 
Zingatia ushauri wa Rocky kijana!
 
wewe si una bakora? mchape kwa sanaaa...hata rudia tenaa!!! mchape kisawasawa!
 
Wengine huwa hayo matatizo hatuna kwani sura zetu zimekaa kijeshi jeshi. Binti akikuangalia tu mwenyewe anakuwa mpole na anaachana na wewe.
 

nipatie hiyo namba ya binti kwa PM
 
Kutana naye umwambie huhitaji hicho anachofikiria, na umwambie wazi huhitaji mawasilino naye. Ukicheza na mbwa ....
 
Salaaaaale !!!!!!!! Na mama wawili kesha stukia. Sijui nani kamtonya. Uswahilini kuna vituko.
 
Ninachokifikiria ni kwamba, baada ya meeting ya, kakiendelea kunisumbua naliwasilisha nyumbani mwenyewe
wife anisaidie
.

Mkuu yamaanisha hauna maamuzi yako binafsi hadi mkeo akusaidie????
Kuwa mwanaume mwenye maamuzi ya busara badala ya kujiharibia ndoa yako kisa kibinti km hicho.
Angalia usije mletea ngoma mama wawili, akashindwa kuja walea watoto wenu bureee. :A S-coffee:
 
Achana na vitoto vya shule vitakuletea matatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…