Ni mara ya kwanza kuandika hapa JF lakini nimekuwa nikisoma mara kwa mara post nyingi hasa kwenye hili jukwaa nimetokea kuvutiwa na post ya baadhi ya members na pia ningependa siku moja niwaone uso kwa uso na hawa members
THE FINEST
TEAMO
ASPRIN
KAIZER
FIDEL80
ROYA ROY
NYAMAYAO
SMILES
BEAUTY
FIRSTLADY
Ni mara ya kwanza kuandika hapa JF lakini nimekuwa nikisoma mara kwa mara post nyingi hasa kwenye hili jukwaa nimetokea kuvutiwa na post ya baadhi ya members na pia ningependa siku moja niwaone uso kwa uso na hawa members
THE FINEST
TEAMO
ASPRIN
KAIZER
FIDEL80
ROYA ROY
NYAMAYAO
SMILES
BEAUTY
FIRSTLADY
Ni mara ya kwanza kuandika hapa JF lakini nimekuwa nikisoma mara kwa mara post nyingi hasa kwenye hili jukwaa nimetokea kuvutiwa na post ya baadhi ya members na pia ningependa siku moja niwaone uso kwa uso na hawa members
THE FINEST
TEAMO
ASPRIN
KAIZER
FIDEL80
ROYA ROY
NYAMAYAO
SMILES
BEAUTY
FIRSTLADY
Ubarikiwe sana.....
Karibu sana JF! katika hao uliowataja hapo kuna team mbili....
Infidelity Social Club na Infidelity Prevention Committee....
Mimi nikiwa kama kiongozi mwandamizi wa "Infidelity Prevention Committee"
Napenda kukualika kwenye chama chetu....and i promise u "U WONT REGRET IT"
*najua kina kaizer watakuja na ahadi kibao....lakini usijali hiki chama chetu ndio cha ukweli!!!
sawa eeh......nashukuru!! :becky::becky:
Smile bana...
Unataka kumchakachue mwenzio kungali asubuhi? Mwache atachagua mwenyewe....π‘
BTW: Sisi hatutoi ahadi...ila tunatoa ushiriakiano..
Nimeshaongea naye PM......
Na ameshachagua......:becky: if u understand what I mean!!
Ni mara ya kwanza kuandika hapa JF lakini nimekuwa nikisoma mara kwa mara post nyingi hasa kwenye hili jukwaa nimetokea kuvutiwa na post ya baadhi ya members na pia ningependa siku moja niwaone uso kwa uso na hawa members
THE FINEST
TEAMO
ASPRIN
KAIZER
FIDEL80
ROYA ROY
NYAMAYAO
SMILES
BEAUTY
FIRSTLADY
Smile bana...
Unataka kumchakachue mwenzio kungali asubuhi? Mwache atachagua mwenyewe....π‘
BTW: Sisi hatutoi ahadi...ila tunatoa ushiriakiano..
Mhn!!!Karibu ila pagumu uwe mvumilivu tu!! :welcome:
Mhn!!!Karibu ila pagumu uwe mvumilivu tu!! :welcome:
Mhn!!!Karibu ila pagumu uwe mvumilivu tu!! :welcome:
aaaaaagh mkuu wapi tena huko?na hawa wanaboa
malaria sugu
tandale one
lukolo
endelezeni....................
Amekutajia jinsia yake??:tonguez:
hata mimi siielewi?Imefanyeje??mjomba??
:becky:πlayball: