Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
hehehehehe!Naomba pafu mkuu!! najisikia :sick: sana yani, inanichangamsha!!
haya haya nakutembezea kitu kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hehehehehe!Naomba pafu mkuu!! najisikia :sick: sana yani, inanichangamsha!!
Napenda kujua jinsi yako....
Karibu sana jf....hope ushapitia sheria alizokuwekea pakajimmy hapo juu...
Amekutajia jinsia yake??:tonguez:
Te Te Teh..na hivi ni mtu mzima atajua tu ni cha kufanya na kipi cha kufuata!Dah!! hawa waasi waangalie sana wasije wakakufanya mateka ndio maana nimewawekea rangi nyekundu, hao kwenye rangi ya bluu ukiwafahamu basi hautasikia la kuambiwa, hao wengine kwenye nyeusi ni majirani zetu kuna mmoja ni mama mkwe wangu hapo.
cha ARUSHA!??Tatizo wewe unaogopa cha Arusha....
cha ARUSHA!??
cha mtoto hicho kaka!
mi ninacho cha changarawe muulize BIGIRITA!.....kile kinachaangwanywa na samadi ya mbuzi muzee!halafu kinavundikwa toilet kwa 10days!hicho ukipiga pafu moja basi......................!jamaika hii hapa
cha malawi enzi zile bwana!Anasema cha Malawi ndio size yake anasema cha Arusha hakina stimu
kubwa hhii kaka!
sasa mi nivute ndogo kama ya beauty na smile itakuwaje sasa?
cha ARUSHA!??
cha mtoto hicho kaka!
mi ninacho cha changarawe muulize BIGIRITA!.....kile kinachaangwanywa na samadi ya mbuzi muzee!halafu kinavundikwa toilet kwa 10days!hicho ukipiga pafu moja basi......................!jamaika hii hapa
cha malawi enzi zile bwana!
kitu cha changarawe pale mafinga!............
kubwa hhii kaka!
sasa mi nivute ndogo kama ya beauty na smile itakuwaje sasa?
Tatizo wewe unaogopa cha Arusha....
cha ARUSHA!??
cha mtoto hicho kaka!
mi ninacho cha changarawe muulize BIGIRITA!.....kile kinachaangwanywa na samadi ya mbuzi muzee!halafu kinavundikwa toilet kwa 10days!hicho ukipiga pafu moja basi......................!jamaika hii hapa
cha malawi enzi zile bwana!
kitu cha changarawe pale mafinga!............
Sisi wala hatujasema/kuomba, labda mngetupatia bible!!Beauty na Smiles wanataka shipment hawa si wanatutafutia matatizo eti wanataka kichanganywe na samadi ya nguruwe na mashudu halafu kivundikwe siku 10
Ni mara ya kwanza kuandika hapa JF lakini nimekuwa nikisoma mara kwa mara post nyingi hasa kwenye hili jukwaa nimetokea kuvutiwa na post ya baadhi ya members na pia ningependa siku moja niwaone uso kwa uso na hawa members
THE FINEST
TEAMO
ASPRIN
KAIZER
FIDEL80
ROYA ROY
NYAMAYAO
SMILES
BEAUTY
FIRSTLADY
Yaani hapa nina uhakika kabisa sielewi mnachoongelea.....
Orait Tunazungumzia kilimo kwanza ndio maana unaona samadi imetajwa
Sisi wala hatujasema/kuomba, labda mngetupatia bible!!
Yaani hapa nina uhakika kabisa sielewi mnachoongelea.....
Owkay......sasa mbona hii tredi haihusiani na kilimo kwanza....:confused2: