Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,856
- 1,793
Wewe utakuwa pia humfahamu unafikiri kwa nini kelele zake zimeibuka awamu hii.Umeziacha wapi akili zako? naona vidole tu ndiyo vinafanya kazi. Kama humuelewi ZZK basi waweza kukosea hata kwenda chooni ukaenda jikoni kwa haja kubwa
Hata mimi nakwambia Zitto ni mchumia tumbo wa kutupwa,hayo mambo ya kuthibitisha muulize Cha cha Wangwe
Kwa hiyo mgombea binafsi upande wa rais ruksa tangu lini?
Zito kabwe ndiye mchumia tumbo namba moja basi tu hujui
Kwani nyakati hizo tanzania ilikuwa imezuiwa michezo ya kimataifa au kimataifa haikuwepo!?wanasoka wa zamani,
Sunday manara,Othman chama,Hussein masha,
Makumbi juma,Abdallah kibadeni(king) n,k,
Hakika wangekuwa wanacheza sasa tanzania ingeng'aa sana kimataifa,
Sababu:vitu wanavyo fanya akina cr7,zizu,Pirlo,kaka,steave mcmanaman wao walifanya zaidi ya hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
a
lifanikisha vipi hebu tueleze
3. Mch Mtikila.
Aliipigania demokrasia yeye peke yake wengine tukamuona mwehu.
Alifanikisha swala la mgombea binafsi kwenye nafas ya urais
Kwani nyakati hizo tanzania ilikuwa imezuiwa michezo ya kimataifa au kimataifa haikuwepo!?
Huyo yuko kwenye payroll ya zito kwahiyo anapost chichote ilimradi zito anekane kwenye mitandao ya kijamii.Mwalimu Nyerere na Zitto Kabwe…….!!!!!! Kweli…????!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mleta mada nakushauri kimbilia mirembe kwani una dalili zote za mwendawazimu, ujinga wa kiwango cha lami ulichoandika!
Kwani nyakati hizo tanzania ilikuwa imezuiwa michezo ya kimataifa au kimataifa haikuwepo!?
Mwalimu Nyerere na Zitto Kabwe…….!!!!!! Kweli…????!!!!
Mwalimu Nyerere kuwekwa kundi moja na Zitto ni kumkoseq heshima Mwalimu.1. Mwl.Julius Kambarage Nyerere.
Ukitazama akili,ushawishi na maarifa aliyokuwa nayo ingepaswa azaliwe kipindi ambacho nchi inao wasomi wa kutosha kumpa changamoto. Waliokuwepo wachache kama akina Hayati Kambona lakini kwa nchi kutokuwa na wasomi akina Hayati Kambona waliishia kuonwa wasaliti.
2. Zitto Zuberi Kabwe.
Huyu anapambana kipindi ambacho tuna watu wanaojidai wasomi lakini wengi ni wachumia tumbo tu! Wasomi wa aina ya akina Mwigulu Nchemba, Palamagamba Kabudi n.k.
JokeMwalimu Nyerere na Zitto Kabwe…….!!!!!! Kweli…????!!!!
Umemsahau Tundu A Lissi1. Mwl. Julius Kambarage Nyerere
Ukitazama akili, ushawishi na maarifa aliyokuwa nayo ingepaswa azaliwe kipindi ambacho nchi inao wasomi wa kutosha kumpa changamoto. Waliokuwepo wachache kama akina Hayati Kambona lakini kwa nchi kutokuwa na wasomi akina Hayati Kambona waliishia kuonwa wasaliti.
2. Zitto Zuberi Kabwe
Huyu anapambana kipindi ambacho tuna watu wanaojidai wasomi lakini wengi ni wachumia tumbo tu! Wasomi wa aina ya akina Mwigulu Nchemba, Palamagamba Kabudi n.k.
Madalali wa wazungu? Kina mkapa na kikwete?? Hivi matehemu Seth chachage aliwaandika kina nani kwenye kitabu chake cha "makuwadi wa utandawazi"Mwalimu Nyerere kuwekwa kundi moja na Zitto ni kumkoseq heshima Mwalimu.
Tuliokuwepo duniani enzi za Nyerere tulishuhudia uzalendo wake uliotukuka, huwezi kwa namna yoyote ile kumlinganisha na hawa madalali wa wazungu.