Hawa watu wawili (2) walizaliwa hapa Tanganyika/Tanzania nyakati zisizo sahihi kwao!

Hawa watu wawili (2) walizaliwa hapa Tanganyika/Tanzania nyakati zisizo sahihi kwao!

Zito kabwe ndiye mchumia tumbo namba moja basi tu hujui
87264143_2801286886629652_118404985561022464_o.jpg
 
wanasoka wa zamani,
Sunday manara,Othman chama,Hussein masha,
Makumbi juma,Abdallah kibadeni(king) n,k,


Hakika wangekuwa wanacheza sasa tanzania ingeng'aa sana kimataifa,
Sababu:vitu wanavyo fanya akina cr7,zizu,Pirlo,kaka,steave mcmanaman wao walifanya zaidi ya hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nyakati hizo tanzania ilikuwa imezuiwa michezo ya kimataifa au kimataifa haikuwepo!?
 
Ilikuwepo,na tz ilikua inafanya vema,
Kipindi hicho sehemu kubwa ilikua ni kujitolea hata mishahara kama ilikuwepo basi ni finyu sana tofauti na sasa wachezaji wanapewa mpaka makazi,usafiri n.k
Kwani nyakati hizo tanzania ilikuwa imezuiwa michezo ya kimataifa au kimataifa haikuwepo!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwalimu Nyerere na Zitto Kabwe…….!!!!!! Kweli…????!!!!
Huyo yuko kwenye payroll ya zito kwahiyo anapost chichote ilimradi zito anekane kwenye mitandao ya kijamii.
 
1. Mwl.Julius Kambarage Nyerere.
Ukitazama akili,ushawishi na maarifa aliyokuwa nayo ingepaswa azaliwe kipindi ambacho nchi inao wasomi wa kutosha kumpa changamoto. Waliokuwepo wachache kama akina Hayati Kambona lakini kwa nchi kutokuwa na wasomi akina Hayati Kambona waliishia kuonwa wasaliti.

2. Zitto Zuberi Kabwe.
Huyu anapambana kipindi ambacho tuna watu wanaojidai wasomi lakini wengi ni wachumia tumbo tu! Wasomi wa aina ya akina Mwigulu Nchemba, Palamagamba Kabudi n.k.
Mwalimu Nyerere kuwekwa kundi moja na Zitto ni kumkoseq heshima Mwalimu.

Tuliokuwepo duniani enzi za Nyerere tulishuhudia uzalendo wake uliotukuka, huwezi kwa namna yoyote ile kumlinganisha na hawa madalali wa wazungu.
 
1. Mwl. Julius Kambarage Nyerere

Ukitazama akili, ushawishi na maarifa aliyokuwa nayo ingepaswa azaliwe kipindi ambacho nchi inao wasomi wa kutosha kumpa changamoto. Waliokuwepo wachache kama akina Hayati Kambona lakini kwa nchi kutokuwa na wasomi akina Hayati Kambona waliishia kuonwa wasaliti.

2. Zitto Zuberi Kabwe

Huyu anapambana kipindi ambacho tuna watu wanaojidai wasomi lakini wengi ni wachumia tumbo tu! Wasomi wa aina ya akina Mwigulu Nchemba, Palamagamba Kabudi n.k.
Umemsahau Tundu A Lissi
 
Mwalimu Nyerere kuwekwa kundi moja na Zitto ni kumkoseq heshima Mwalimu.

Tuliokuwepo duniani enzi za Nyerere tulishuhudia uzalendo wake uliotukuka, huwezi kwa namna yoyote ile kumlinganisha na hawa madalali wa wazungu.
Madalali wa wazungu? Kina mkapa na kikwete?? Hivi matehemu Seth chachage aliwaandika kina nani kwenye kitabu chake cha "makuwadi wa utandawazi"

We dogo tu. huna unalolijua hapa duniani zaidi ya ushabiki tu.
 
Back
Top Bottom