Ma Mshuza
JF-Expert Member
- Feb 26, 2019
- 207
- 1,122
Heeeh...leo nipo jukwaa hili la michezo. Nimeona...Yanga leo wanashinda. Tena kwa bao nyingi tu. Hongeren sana wanayanga.
Kama T/Roller leo wakishinda...natoa offer ya mtu kunipiga piga na kimto cha kulalia mgongoni mpaka nife.
Yanga tufurahieni ushindi wa Bao 3 kwa Nunge 0 upo.
Kama T/Roller leo wakishinda...natoa offer ya mtu kunipiga piga na kimto cha kulalia mgongoni mpaka nife.
Yanga tufurahieni ushindi wa Bao 3 kwa Nunge 0 upo.