wakozuka
Member
- Mar 24, 2011
- 30
- 7
jamani hivi wazazi wenye watoto waliomaliza form four wapo hai kweli?
mtawezaje ona watoto wenu wamefilikiasi hicho nakukaa kimya pasipo hatua yeyote?
Au mmekubaliana na swala kuwa watoto wenu niwajinga hawawezi kitu?
Mmeishi nao nyie wenyewe mwajua jinsi akili zao zilivyo
lakini mnakaa kimya tuu kuhusu hili swala la mwaka huu.
hivi kama wazazi mngewasimamia kidedea hii sekta ya elimu iboreshwe lingeshindikana kweli?
kwanza wazazi nyie wenyewe ndio mpo huko katika hizo sekta je mwafanyaje jamani?
tukubaliane nahili swala kuwa Tanzania tunasaidiana kuwa wajinga na waoga wamabadiliko.
mtawezaje ona watoto wenu wamefilikiasi hicho nakukaa kimya pasipo hatua yeyote?
Au mmekubaliana na swala kuwa watoto wenu niwajinga hawawezi kitu?
Mmeishi nao nyie wenyewe mwajua jinsi akili zao zilivyo
lakini mnakaa kimya tuu kuhusu hili swala la mwaka huu.
hivi kama wazazi mngewasimamia kidedea hii sekta ya elimu iboreshwe lingeshindikana kweli?
kwanza wazazi nyie wenyewe ndio mpo huko katika hizo sekta je mwafanyaje jamani?
tukubaliane nahili swala kuwa Tanzania tunasaidiana kuwa wajinga na waoga wamabadiliko.