Pre GE2025 Hawa wazee wanaondoka hivi, 2030 patachimbika

Pre GE2025 Hawa wazee wanaondoka hivi, 2030 patachimbika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wenzenu wana rithisha vizazi vyao
Wakamate uongozi...
Mwendo wa kupokezana vijiti tu !

Ova
 
Hili ndio wengi ambao ni wafuatiliaji wakubwa wa siasa tunaliona.

Kumbuka generation za viongozi ambao wapo madarakani wenye kutaka kile kiti ndio walisumbua sana 2015 kwa ajili ya mkakati wa 2025 maana mahesabu yao hayakuwa ile 2015 sema walikuwa wanajijenga na kujiwekea foundation sema kwa bahati mbaya mahesabu yaliharibika baada ya mwamba kufariki, sasa kifuatacho ni 2030.

Hawataambilika hawatamsikiliza mtu, kila mmoja atatumia njia zake kufika pale, maana wote watakuwa makambale baada ya wakubwa ambao waliweza ku control baadhi ya mambo yakienda kombo kama 2015 kuondoka wote.

NB: wengi watasema mbona Mzee wa Msoga yupo, ni kweli kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu atakuwepo na tunamuombea sana lakini kwa kizazi hiki na ujeuri huu hataweza kuzuia kitu tuombe uzima tufike 2030 tujionee mengi zaidi ya 2015.
Kwa nini unadhani tunatakiwa kukaa na kuomba, ili tujionee mengi badala ya kupigania mabadiliko yatakayobadilisha maisha yetu? Hili ndilo tatizo letu kubwa: kuangalia siasa na viongozi wetu kama sinema yenye kufurahisha ambayo haituhusu. Yaani wewe umeshakaa na kupiga mahesabu ya 2035 kuwa hawa vibaka ndiyo pekee wenye haki na uwezo wa kutupatia viongozi na siyo matakwa yetu wananchi?
 
Alisema wazee wana viherehere na akaondoka kabla yao
Siasa hizi
Naona 2030 watagombania sio Chama bali maslahi ya kula tu
Kama mnatawaliwa miaka zaidi ya 60 ongeza 60 zingine labda ndio mtaamka la sivyo hawa hawa ndio watoto wao mda huo watakuwa na mvi na kuitwa wazee na vijana wa sasa.

Na hao watoto wana uroho zaidi ya Chama
Imagine huyo wa fedha anamuandaa eti chipukizi hapo kuna mabadiliko
Mtasubiri sana labda wajeda tuje 😄
 
Hili ndio wengi ambao ni wafuatiliaji wakubwa wa siasa tunaliona.

Kumbuka generation za viongozi ambao wapo madarakani wenye kutaka kile kiti ndio walisumbua sana 2015 kwa ajili ya mkakati wa 2025 maana mahesabu yao hayakuwa ile 2015 sema walikuwa wanajijenga na kujiwekea foundation sema kwa bahati mbaya mahesabu yaliharibika baada ya mwamba kufariki, sasa kifuatacho ni 2030.

Hawataambilika hawatamsikiliza mtu, kila mmoja atatumia njia zake kufika pale, maana wote watakuwa makambale baada ya wakubwa ambao waliweza ku control baadhi ya mambo yakienda kombo kama 2015 kuondoka wote.

NB: wengi watasema mbona Mzee wa Msoga yupo, ni kweli kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu atakuwepo na tunamuombea sana lakini kwa kizazi hiki na ujeuri huu hataweza kuzuia kitu tuombe uzima tufike 2030 tujionee mengi zaidi ya 2015.
Na Mkwere JK 2030 hatoboi
Lazima awe kafukiwa Msoga
 
Back
Top Bottom