Una hoja nduguMiaka ijayo mbele kuanzia 2035 hii nchi inaweza kuwa na either mapinduzi ya kijeshi au vikosi vya uasi, WAKUBWA WA DUNIA WANATULIA TU TIMING MAANA WANAZIFANYA HIZI STUDY.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hoja nduguMiaka ijayo mbele kuanzia 2035 hii nchi inaweza kuwa na either mapinduzi ya kijeshi au vikosi vya uasi, WAKUBWA WA DUNIA WANATULIA TU TIMING MAANA WANAZIFANYA HIZI STUDY.
Kwa nini unadhani tunatakiwa kukaa na kuomba, ili tujionee mengi badala ya kupigania mabadiliko yatakayobadilisha maisha yetu? Hili ndilo tatizo letu kubwa: kuangalia siasa na viongozi wetu kama sinema yenye kufurahisha ambayo haituhusu. Yaani wewe umeshakaa na kupiga mahesabu ya 2035 kuwa hawa vibaka ndiyo pekee wenye haki na uwezo wa kutupatia viongozi na siyo matakwa yetu wananchi?Hili ndio wengi ambao ni wafuatiliaji wakubwa wa siasa tunaliona.
Kumbuka generation za viongozi ambao wapo madarakani wenye kutaka kile kiti ndio walisumbua sana 2015 kwa ajili ya mkakati wa 2025 maana mahesabu yao hayakuwa ile 2015 sema walikuwa wanajijenga na kujiwekea foundation sema kwa bahati mbaya mahesabu yaliharibika baada ya mwamba kufariki, sasa kifuatacho ni 2030.
Hawataambilika hawatamsikiliza mtu, kila mmoja atatumia njia zake kufika pale, maana wote watakuwa makambale baada ya wakubwa ambao waliweza ku control baadhi ya mambo yakienda kombo kama 2015 kuondoka wote.
NB: wengi watasema mbona Mzee wa Msoga yupo, ni kweli kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu atakuwepo na tunamuombea sana lakini kwa kizazi hiki na ujeuri huu hataweza kuzuia kitu tuombe uzima tufike 2030 tujionee mengi zaidi ya 2015.
Na Mkwere JK 2030 hatoboiHili ndio wengi ambao ni wafuatiliaji wakubwa wa siasa tunaliona.
Kumbuka generation za viongozi ambao wapo madarakani wenye kutaka kile kiti ndio walisumbua sana 2015 kwa ajili ya mkakati wa 2025 maana mahesabu yao hayakuwa ile 2015 sema walikuwa wanajijenga na kujiwekea foundation sema kwa bahati mbaya mahesabu yaliharibika baada ya mwamba kufariki, sasa kifuatacho ni 2030.
Hawataambilika hawatamsikiliza mtu, kila mmoja atatumia njia zake kufika pale, maana wote watakuwa makambale baada ya wakubwa ambao waliweza ku control baadhi ya mambo yakienda kombo kama 2015 kuondoka wote.
NB: wengi watasema mbona Mzee wa Msoga yupo, ni kweli kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu atakuwepo na tunamuombea sana lakini kwa kizazi hiki na ujeuri huu hataweza kuzuia kitu tuombe uzima tufike 2030 tujionee mengi zaidi ya 2015.