Wanawake wamejaa kibao kitaani, hapo umekutana na nyonya damu piga chini haraka sana, siku nyingine wakati wa kutongoza mwambie kabisa kua wewe una allergy ya kuombwa hela.
Mbona sisi huku kitaani kwetu mademu zetu hua hawataki kabisa hela, ukitaka kumfurahisha labda umnunulie tu mwenyewe zawadi ila pesa cash hawachukui wanasema wao sio wadangaji.