Hawa Yanga walikuwa wanasema nini?

Hawa Yanga walikuwa wanasema nini?

🤣
 

Attachments

  • markup_1000097575.png
    markup_1000097575.png
    1.3 MB · Views: 2
Eenh wanazungumzia nini!?
Umuhimu wa yanga kushinda Kila mechi yake ikiwemo Ile ya trh 08/03
Lakini pia wamempongeza mh Rais Samia Suluhu Hassani kwa kuboresha michezo nchini
Vile vile wameenda mbali na kusema Samia na GSM mi🖐️tena
 
Sudi pengo lake limezibwa kirahisi sana watu wengi hatukutegemea kocha mpya ata click kwa muda mfupi kiasi hiki.

Tena katika game ya do or die, mechi ambayo Yanga alihitaji matokeo ya aina moja tu.

Mechi ambayo iliwakutanisha vigogo wawili wa soka lakini mi kwa mbinu za kocha mpya tu ndio zimesaidia Yanga kuibuka na ushindi wa goli 6-1.

Ni mechi ambayo Yanga waliihitaji ili kuenda kubadilisha matokeo ya tarehe 18 ya mwezi uliopita.

Kwa kufungwa KenGold Yanga imepona


Na hivi tarehe 20 tutakuwa nao live pale Qatar Doha tukisubiri kumuona mpizani wake maana.
 
Back
Top Bottom