Hawadanganyikii hao!!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Mnaotafuta wachumba jf muwe na maelezo yenye shibe humu wanawake wa jf wameitimu Bagamoyo chuo cha sanaa nawengine wapo Nyumba ya sanaa!!Hivyo kuweni makini msijekuta mnanachumbiwa wenyewe!!
 
Mnaotafuta wachumba jf muwe na maelezo yenye shibe humu wanawake wa jf wameitimu Bagamoyo chuo cha sanaa nawengine wapo Nyumba ya sanaa!!Hivyo kuweni makini msijekuta mnanachumbiwa wenyewe!!

Wanaume ndo kabisa
 
Mnaotafuta wachumba jf muwe na maelezo yenye shibe humu wanawake wa jf wameitimu Bagamoyo chuo cha sanaa nawengine wapo Nyumba ya sanaa!!Hivyo kuweni makini msijekuta mnanachumbiwa wenyewe!!

mbona umeamua kusifia mvua ?
 
mbona umeamua kusifia mvua ?
Mimi kama mdau nawapa angalizo hawa watokafacebook wasije naimani kukuta wakywalea vyuoni nakuwapa hela ya matumizi!!Mimi longtime hanohano!!mimi mwalimu!!
 
Usiwaogopeshe wenzio bwana, huwezi jua bahati ya mtu iko wapi bwana.
 
Mimi kama mdau nawapa angalizo hawa watokafacebook wasije naimani kukuta wakywalea vyuoni nakuwapa hela ya matumizi!!Mimi longtime hanohano!!mimi mwalimu!!

wewe leo....mmmh....habari ya calabash?....nilikuwa hapo jana
 
wewe leo....mmmh....habari ya calabash?....nilikuwa hapo jana
Ahaaaaa konaipi??basi leo pm nitakuwa pale wenawe mwogamwogaaa utdhani uko kidato cha pili jiripue mamy!!!!kuzaliwa siku moja kufa siku moja hautazaliwa mara yapili!!
 
Ahaaaaa konaipi??basi leo pm nitakuwa pale wenawe mwogamwogaaa utdhani uko kidato cha pili jiripue mamy!!!!kuzaliwa siku moja kufa siku moja hautazaliwa mara yapili!!

poa nikiwa pale nitakuwa nakuPM
 
Mnaotafuta wachumba jf muwe na maelezo yenye shibe humu wanawake wa jf wameitimu Bagamoyo chuo cha sanaa nawengine wapo Nyumba ya sanaa!!Hivyo kuweni makini msijekuta mnanachumbiwa wenyewe!!

mkuu mbona unawasemea tu hawa dada zetu?hakuna wanaume waliohitimu bagamoyo?is the matter of seriousness knowing what we need ikiwa goodluck u can have someone here, though one should be very keen.
 
mkuu mbona unawasemea tu hawa dada zetu?hakuna wanaume waliohitimu bagamoyo?is the matter of seriousness knowing what we need ikiwa goodluck u can have someone here, though one should be very keen.
Mimi tayari usiogope!!!mkuu naziada sitaki!
 
Preta......nakusubiri pm ndo lafoundation!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…