Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Hastahili kuishi huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann?Napendekeza serikali ipandishe GB1 iwe 10,000Tshs.
Hawa wanawaibia wananchi wa255 iko hivi.. kipindi cha utawala wa Jk alitumia akili nyingi kama tunavyojua Tz haijawahi pata raisi mjanja kwenye mambo ya Teknolojia kama Jk..Bado hawajamaliza,
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe.Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.
Unaweza kukuta anajua kusoma na kuandika tu. Kinyume na hapo, basi atakuwa na elimu ya kununua tu kama yule daktari wake wa uchumi.Hovyo sana huyu mtu ana elimu gani.
Aliwasimika jiwe. Hakuna mwananchi anaweza kumchagua huyo jambazi muuza ngadaHuyu ni zaidi ya mtumbwi wa kibwengo. Wananchi tujilaumu wenyewe Hivi unamchaguaje mtu wa aina hii awe mwakilishi wako bungeni?
Wapo wamejaa bungeni wanatafuna kodi zetu tu. 2025 watu wa aina tusiwape tena nafasi.
Bure kabisa hii sirikaliBado hawajamaliza,
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe.Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.
Usipowapa kura, watapita tu .Huyu ni zaidi ya mtumbwi wa kibwengo. Wananchi tujilaumu wenyewe Hivi unamchaguaje mtu wa aina hii awe mwakilishi wako bungeni?
Wapo wamejaa bungeni wanatafuna kodi zetu tu. 2025 watu wa aina tusiwape tena nafasi.
Wazo la Zungu ni zuri ila Waziri asilitekeleze maana litakuwa ni zigo lake..Bado hawajamaliza,
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe.Nape Nnauye, kuona namna watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Fedha, kuja na mfumo thabiti utakachochea ongezeko la mapato ya serikali kupitia matumizi ya data.
ndio maana ni katili sana.Aliwasimika jiwe. Hakuna mwananchi anaweza kumchagua huyo jambazi muuza ngada