Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Tecno imenifukuzisha kazi, ikiwa mfukoni mwa suruali yangu ya blue, imemtumia boss meseji za kumtusi na kumkashifu sana, najuta kwanini haikuisha chaj mapema.š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moo Click, kama ulitufuatilia ni kwamba tulitangaza kuwa watakaokwenda Blind Date ni wale 'single' pekee. Wengine walipewa zawadi nyingine kama simu, na wengine watapata nafasi ya kupanda Helikopta kulitazama Jiji la Dar es Salaam hapo mwezi Machi.
Hatufanyi ubaguzi kwa wateja wetu na fans wetu kwa namna yoyote ile! Mteja Yeyote na fan yeyote yule kwetu wana utu na thamani iliyo sawa.
feyzal, Blind date haimaanishi mkionana na kufahamiana mtakutana kimwili, hapana ni kujenga urafiki tu kuweza kubadilishana mawazo na kimtazamo katika mambo mbalimbali ya maisha.
Mlijuaje wako single na nyie. Maneno yao wenyewe hayawezi kuwa na ukweli kuwa wako single.Moo Click, kama ulitufuatilia ni kwamba tulitangaza kuwa watakaokwenda Blind Date ni wale 'single' pekee. Wengine walipewa zawadi nyingine kama simu, na wengine watapata nafasi ya kupanda Helikopta kulitazama Jiji la Dar es Salaam hapo mwezi Machi.
Mlikuwa nao muda wote?feyzal, Blind date haimaanishi mkionana na kufahamiana mtakutana kimwili, hapana ni kujenga urafiki tu kuweza kubadilishana mawazo na kimtazamo katika mambo mbalimbali ya maisha.
Tecno imenifukuzisha kazi, ikiwa mfukoni mwa suruali yangu ya blue, imemtumia boss meseji za kumtusi na kumkashifu sana, najuta kwanini haikuisha chaj mapema.š¤£
NdiyoMlikuwa nao muda wote?
TECNO TanzaniaNdiyo
Tecno imenifukuzisha kazi, ikiwa mfukoni mwa suruali yangu ya blue, imemtumia boss meseji za kumtusi na kumkashifu sana, najuta kwanini haikuisha chaj mapema.[emoji1787]
simu za tecno kwenye upande wa chaji mko vizuri, sasa hizo kampuni nyingine unajikuta unatembea na charger kila sehemu kama wallet vileNdiyo
Asante Kennedy, hakika tutafanya hivyo na tuko tayari.Karibuni Jamiiforums.com
TECNO Mkae Vema Kujibu Hoja Kwa Hoja
Pole kwa tatizo la simu yako Abby The Rider, tafadhali tembelea kituo chetu cha matengenezo 'Carlcare Service Center' kilichopo Kariakoo Mtaa wa Msimbazi kinatazamana na kituo cha Polisi Msimbazi. Au unaweza kufika kituo chetu cha Posta mtaa wa Samora jengo la NHC ghorofa M.TECNO Tanzania
Nina simu yenu Tecno Camon CX, miezi kadhaa ilopita ilipata crack kidogo but haikua na shida, Tatizo juzi yameanza majanga ya Touch, Mnapatikana wapi hapa Dar niweze kurekebisha hili tatizo?