TECNO Tanzania
Senior Member
- Jul 6, 2016
- 192
- 217
- Thread starter
-
- #41
Hello Mileage, toleo la simu za TECNO la mwisho kabisa ambalo ni la hivi karibuni ni Camon12 Series ambapo kuna Camon12, Camon12 Air na Camon12 Pro. Matoleo ya simu zetu yote ni bora na tunajivunia kwayo katika design zake.Suala kubwa linabaki kwako tu unapendelea design ipi na mwonekano gani.Hivi simu zenu latest ni zipi ? Na ipi ni toleo bora kabisa ambalo hata ninyi mnajivunia kwa upekee wake kwenye design yake ?
An LED 6-inch display, 6Gb RAM, 128Gb Internal Storage, 16MP Camera, 3500+ mAh battery na 1440*3120 resolution. Ni toleo gani lina hizi sifa ?Hello Mileage, toleo la simu za TECNO la mwisho kabisa ambalo ni la hivi karibuni ni Camon12 Series ambapo kuna Camon12, Camon12 Air na Camon12 Pro. Matoleo ya simu zetu yote ni bora na tunajivunia kwayo katika design zake.Suala kubwa linabaki kwako tu unapendelea design ipi na mwonekano gani.
asantePole kwa tatizo la simu yako Abby The Rider, tafadhali tembelea kituo chetu cha matengenezo 'Carlcare Service Center' kilichopo Kariakoo Mtaa wa Msimbazi kinatazamana na kituo cha Polisi Msimbazi. Au unaweza kufika kituo chetu cha Posta mtaa wa Samora jengo la NHC ghorofa M.
An LED 6-inch display, 6Gb RAM, 128Gb Internal Storage, 16MP Camera, 3500+ mAh battery na 1440*3120 resolution. Ni toleo gani lina hizi sifa ?
Duniani hamma Tecno yenye resolution nzuri ya pixels ulizotaja apo.....tecno wameishia FHD sio QHD.An LED 6-inch display, 6Gb RAM, 128Gb Internal Storage, 16MP Camera, 3500+ mAh battery na 1440*3120 resolution. Ni toleo gani lina hizi sifa ?
pamoja na akili hizi nina imani bado corona itakuacha[emoji1][emoji1][emoji1]Huyo dada hana tofauti na Tecno. Licha ya make up ila bado yuko hivyo.!
[emoji23][emoji23][emoji2] duh Nimekushindwa...sio kwa neno hilooHuyo dada hana tofauti na Tecno. Licha ya make up ila bado yuko hivyo.!
π π π π π π π π πHuyo dada hana tofauti na Tecno. Licha ya make up ila bado yuko hivyo.!