Uchaguzi 2020 Hawana ushawishi tena, wanatunga sheria za kuwalinda

Uchaguzi 2020 Hawana ushawishi tena, wanatunga sheria za kuwalinda

DIZZO MTAWALA

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
240
Reaction score
767
Yes Serikali ya CCM imeshindwa kushawishi umma uwe upande wao zaidi wamefanya ukosoaji kama ni matusi. Rejea Spika Ndugai alipotoa maoni wakati mbunge Lema akichangia kwenye mswada wa kumiliki laini moja ya simu anasema mitandaoni wanasemwa wao tu tena matusi.

Cha kujiuliza je kumuambia Job Ndugai kumrudisha Mwambe amevunja katiba ni tusi? Ama kuwakinga wabunge waliofukuzwa uanachama wa chama chao ni kuvunja katiba ni tusi? Ama bunge kufuata maagizo ya nje ya bunge ni tusi.

Miaka mitano wamewazuia wapinzani wao kukua kisiasa vyombo vya habari kuwazungumzia wao kila siku kuwafungulia makesi viongozi wa upinzani kuanzia kata mpaka taifa Leo bado wanapeleka miswada ya sheria ya kulinda uvunjwaji wa katiba waliofanya wa wazi kabisa ktk awamu hii ya tano.

CCM kwa sasa imebaki na dola isiozidi watu laki mbili dhidi ya umma uliozaidi ya watu milioni tano


#2020kataaukandamizanauvunjwajiwakatiba
 
Eeh Acha tu wapeleke hiyo miswaada na waupitishe si Ni ujinga wenu mnaleta comedy Hadi bungeni, Mara mjizibe Midomo kwa matambala Mara mjiweke karantini yaani upuuzi na utoto mwingi..

Note; Usimulaumu Mbunge anaehudhulia vikao vya bunge na kuleta miswaada wakati wewe ukiingia Bungeni unaziba mdomo kwa tambala na Ukipewa posho unalikimbia bunge kwa mgongo wa karantini..

#Soon CDM is gonna die
 
Eeh Acha tu wapeleke hiyo miswaada na waupitishe si Ni ujinga wenu mnaleta comedy Hadi mbugeni, Mara msijizibe Midomo kwa matambala Mara mjiweke karantini yaani upuuzi na utoto mwingi..

Note; Usimulaumu Mbunge anaehudhulia vikao vya bunge na kuleta miswaada wakati wewe ukiingia Bungeni unaziba mdomo kwa tambala na kulipwa posho unalikimbia bunge kwa mgongo wa karantini..

#Soon CDM is gonna die

Lini wabunge wa ccm wamepeleka miswada kwa akili gani za kina lusinde miswada ya upinzani inazuiwa ya serikali inaletwa wabunge vilaza wa ccm kazi yao ni ndiiiio tu
 
Watakuambia umetumwa na mabeberu,as if ni mbuzi joke aliye na joto LA kupandwa.Wapinzani wamekomaa vya kutosha na wameiva katika siasa safi ndiyo maana pamoja na kupitia katika tanuru LA moto lakini bado ni tishio kwa CCM na viongozi wake.

Haiingii akilini kila Mara tangazo LA kifo cha upinzani miaka yote hii wakati huo huo jamaa wanaijambisha ushuzi CCM. Mikakati yote ovu wametumia ila wapinzani bado ngangari.Big up Mh Mbowe,Mnyika,Lissu,Msigwa ,Lena,Mdee,Bulaya,Sugu na makamanda wote kwa kazi nzuri.

Ukiona mpinzani anayeusifia utawala huu kama wafanyavyo kina Mrema,Lipumba,Cheyo,Mbatia na wenzao utabaki kujiuliza kuwa hawa watu ni Watanzania wenzetu kweli?

Wao hawakutani na mkono wa chuma hats wakifanya uteuzi wa mgombea wa chama Tawala kabla ya kipindi rasmi hautasikia wakikemewa.

Shuhudia wakisikia CDM itamsimamisha Mh Lissu,povu hilooo.
 
Kwakweli ule muswada ni swala la aibu sana ila hawa jamaa mshipa wa aibu ulishakatika siku nyingi , kama wanaamini wanatenda yaliyo mema na kwa manufaa ya umma kwanini wanahofia kuja kushtakiwa.
.

Mbona Mbowe na kamati ake hawaruhusiwi kuhojiwa Wala kushitakiwa kwa maamuzi wanayoyaamua.
Mfano: kumupitisha Lowasa 2015 pasipo kushirikisha majority ya wanachama na kutafuna bil8 pasipo kutokea mtu wa kuhoji Wala kushtaki kutoka ndani ya chama.

#Mbowe Acha udikteta Waachie na wengine madaraka lasivyo chama kitakufia mkononi mwako na heshima yako ktk Taifa hili utapotea.
 
.

Mbona Mbowe na kamati ake hawaruhusiwi kuhojiwa Wala kushitakiwa kwa maamuzi wanayoyaamua.
Mfano: kumupitisha Lowasa 2015 pasipo kushirikisha majority ya wanachama na kutafuna bil8 pasipo kutokea mtu wa kuhoji Wala kushtaki kutoka ndani ya chama.

#Mbowe Acha udikteta Waachie na wengine madaraka lasivyo chama kitakufia mkononi mwako na heshima yako ktk Taifa hili utapotea.

Pumba zingine bwana kuna majority zaidi ya mkutano mkuu uliompitisha embu jaribuni kuleta hoja shawishi ndo maana magufuli kwenye teuzi nyingi hutazama upinzani maana nyinyi ni kulamba nyao tu
 
Lini wabunge wa ccm wamepeleka miswada kwa akili gani za kina lusinde miswada ya upinzani inazuiwa ya serikali inaletwa wabunge vilaza wa ccm kazi yao ni ndiiiio tu

"Wabunge vilaza Ni wale wanaolikimbia bunge baada ya kupewa posho na kwenda dar kula Bata kwa kuwadanganya wananchi wao walio watuma kuwawakilisha kuwa wapo karantini dodoma" the truth that will never change.
 
"Wabunge vilaza Ni wale wanaolikimbia bunge baada ya kupewa posho na kwenda dar kula Bata kwa kuwadanganya wananchi wao walio watuma kuwawakilisha kuwa wapo karantini dodoma" the truth that will never change.

Posho alipe spika alafu atafute kiki kwa kusema wamekula posho utafikiri zinatolewaga kwa cash hizi hoja dhaifu ndo zinawafanya mnakosa ushawishi
 
Eeh Acha tu wapeleke hiyo miswaada na waupitishe si Ni ujinga wenu mnaleta comedy Hadi bungeni, Mara mjizibe Midomo kwa matambala Mara mjiweke karantini yaani upuuzi na utoto mwingi..

Note; Usimulaumu Mbunge anaehudhulia vikao vya bunge na kuleta miswaada wakati wewe ukiingia Bungeni unaziba mdomo kwa tambala na Ukipewa posho unalikimbia bunge kwa mgongo wa karantini..

#Soon CDM is gonna die
Vitu vingine ni aibu hata kuvisoma, unasomaaaaaà mwisho wa maoni unajaribu kupima aliyeandika haya ana hali gani kiafya (afya ya fahamu) unabaki kumhirumia tu labda ana msongo wa mawazo, au upeo wake siyo wa kujadili jambo hili au anatumikia Kafiri ili apate mradi wake!!?
Mtu anaona sheria yoyote mbovu inayopitishwa Bungeni tena kwa malengo binafsi ya kakikundi ka watu haimhusu, anadhani sheria kandamizi ni kwa ajili ya kina Lema na Mdee. Hata Kinana hakutegemea kwamba kuna siku atalazimika kuomba radhi huku akiwa kakoksewa yeye. Nape hakutegemea kuna siku atatembelea magoti mita 120 kwenda kusujudu mbele ya binadamu mwenzake ili apewe ruhusa ya kufunguliwa geti akaombe msamaha pasipo na kosa.
 
Kwakweli ule muswada ni swala la aibu sana ila hawa jamaa mshipa wa aibu ulishakatika siku nyingi , kama wanaamini wanatenda yaliyo mema na kwa manufaa ya umma kwanini wanahofia kuja kushtakiwa.
Ukitaka kufahamu kuwa ni waovu,wakumbushie rasimu ya katiba mpya chini ya Tume ya Warioba uone watakavyong'ka.Ila waache wajitengenee cobweb yao,ila siku zao hapo zinahesabika.

Nawaomba wapinzani serious nchi hii chukueni hii Tip ya kuwapa hizi Watanzania Katiba Mpya kama ajenda Naomba moja,mengine yafuatie.Nyumbani Bora na Imara ni msingi,Nchi ya asali na maziwa haiwezekani bila Katiba inayotokana na Wananchi wenyewe ambayo ndiyo Msingi wa yote.Msisahau kuweka kipengele cha maridhiano na kusameheana kwa ccm watakaoomba msamaha kwa Watanzania dhidi ya maovu waliyoshiki/waliyoshirikishwa.Hofu yao mtawashitaki na kuwafunga,hiyo mkiweka huo upenyo watapunguza hofu.

Yote kwa yote,nawaomba CDM waingie mkataba na wanachama wake.Kama tuna wanachama 1,000,000 na kila mwanachama akahakikisha anawaelimisha wapiga kura 10 kuwachagua wagombea wa CDM na hapo wapiga kura 10 wakishawishi wenza wao na ndugu hata 1 unategemea CCM itakuwepo?Wataalam wa hisabati wakitumika nadhani hii inawezekana na ninao uhakika mbuyu chali saa NNE asubuhi.

Muda ni mchache na mambo ni mengi,tunaweza.
 
Ndiyooooooo
IMG-20191111-WA0001.jpg
 
Maneno fikirishi sana haya
Vitu vingine ni aibu hata kuvisoma, unasomaaaaaà mwisho wa maoni unajaribu kupima aliyeandika haya ana hali gani kiafya (afya ya fahamu) unabaki kumhirumia tu labda ana msongo wa mawazo, au upeo wake siyo wa kujadili jambo hili au anatumikia Kafiri ili apate mradi wake!!?
Mtu anaona sheria yoyote mbovu inayopitishwa Bungeni tena kwa malengo binafsi ya kakikundi ka watu haimhusu, anadhani sheria kandamizi ni kwa ajili ya kina Lema na Mdee. Hata Kinana hakutegemea kwamba kuna siku atalazimika kuomba radhi huku akiwa kakoksewa yeye. Nape hakutegemea kuna siku atatembelea magoti mita 120 kwenda kusujudu mbele ya binadamu mwenzake ili apewe ruhusa ya kufunguliwa geti akaombe msamaha pasipo na kosa.
 
Vitu vingine ni aibu hata kuvisoma, unasomaaaaaà mwisho wa maoni unajaribu kupima aliyeandika haya ana hali gani kiafya (afya ya fahamu) unabaki kumhirumia tu labda ana msongo wa mawazo, au upeo wake siyo wa kujadili jambo hili au anatumikia Kafiri ili apate mradi wake!!?
Mtu anaona sheria yoyote mbovu inayopitishwa Bungeni tena kwa malengo binafsi ya kakikundi ka watu haimhusu, anadhani sheria kandamizi ni kwa ajili ya kina Lema na Mdee. Hata Kinana hakutegemea kwamba kuna siku atalazimika kuomba radhi huku akiwa kakoksewa yeye. Nape hakutegemea kuna siku atatembelea magoti mita 120 kwenda kusujudu mbele ya binadamu mwenzake ili apewe ruhusa ya kufunguliwa geti akaombe msamaha pasipo na kosa.
Sisi Wajeda tunaamn mkubwa hakosei na hakuna kujadili kauli ya mkubwa wako.
Na hii nchi sasaiv ipo chini ya Amri jeshi makini Sana kwahiyo muda mwingine nyie raia inatakiwa mjue kusoma nyakati..

"Mimi siyo mwanasiasa" JPM
 
Yes Serikali ya CCM imeshindwa kushawishi umma uwe upande wao zaidi wamefanya ukosoaji kama ni matusi. Rejea Spika Ndugai alipotoa maoni wakati mbunge Lema akichangia kwenye mswada wa kumiliki laini moja ya simu anasema mitandaoni wanasemwa wao tu tena matusi.

Cha kujiuliza je kumuambia Job Ndugai kumrudisha Mwambe amevunja katiba ni tusi? Ama kuwakinga wabunge waliofukuzwa uanachama wa chama chao ni kuvunja katiba ni tusi? Ama bunge kufuata maagizo ya nje ya bunge ni tusi.

Miaka mitano wamewazuia wapinzani wao kukua kisiasa vyombo vya habari kuwazungumzia wao kila siku kuwafungulia makesi viongozi wa upinzani kuanzia kata mpaka taifa Leo bado wanapeleka miswada ya sheria ya kulinda uvunjwaji wa katiba waliofanya wa wazi kabisa ktk awamu hii ya tano.

CCM kwa sasa imebaki na dola isiozidi watu laki mbili dhidi ya umma uliozaidi ya watu milioni tano


#2020kataaukandamizanauvunjwajiwakatiba
"draconic law" siku zote hutungwa na "madikteta"
Hatua hizo huanza taratibu, watatunga sheria hairuhusiwi kucheka, baadae kila watakaco
 
Sisi Wajeda tunaamn mkubwa hakosei na hakuna kujadili kauli ya mkubwa wako.
Na hii nchi sasaiv ipo chini ya Amri jeshi makini Sana kwahiyo muda mwingine nyie raia inatakiwa mjue kusoma nyakati..

"Mimi siyo mwanasiasa" JPM
Kwa hiyo tunatungiwa sheria za kijeshi?
 
Kwakweli ule muswada ni swala la aibu sana ila hawa jamaa mshipa wa aibu ulishakatika siku nyingi , kama wanaamini wanatenda yaliyo mema na kwa manufaa ya umma kwanini wanahofia kuja kushtakiwa.
Hivi wasishitakiwe kweli? Hata wakigundulika kuwa wanafanya njama za kuuza nchi, waachwe tu? Wakiingia mikataba mibovu na hatarishi kwa nchi, waachwe tu wasishitakiwe? Wamevunja katiba na sheria za nchi, wasishitakiwe kweli? Wamewauwa watawaliwa, waachwe tu hivihivi? Tuwe serious kidogo jamani. Nitawashangaa wabunge wakipitisha mswada huu wakati bunge linamaliza muhula wake. Ndugai, mnataka kufanya nini wakati huu ambacho mwajua sio halali na mnataka kujiwekea kinga kabla hamjatenda?
 
Back
Top Bottom