Uchaguzi 2020 Hawana ushawishi tena, wanatunga sheria za kuwalinda

Uchaguzi 2020 Hawana ushawishi tena, wanatunga sheria za kuwalinda

Eeh Acha tu wapeleke hiyo miswaada na waupitishe si Ni ujinga wenu mnaleta comedy Hadi bungeni, Mara mjizibe Midomo kwa matambala Mara mjiweke karantini yaani upuuzi na utoto mwingi..

Note; Usimulaumu Mbunge anaehudhulia vikao vya bunge na kuleta miswaada wakati wewe ukiingia Bungeni unaziba mdomo kwa tambala na Ukipewa posho unalikimbia bunge kwa mgongo wa karantini..

#Soon CDM is gonna die
MSWAADA NI KWA AJILI YA WALIOTAJWA .WW HAUMO NA HUTANUFAIKA NA MSWAADA HUO.JIFIKIRIE MARA MBILI MBILI KAMA MTANZANIA NA SI KAMA CHADEMA AU CCM.
 
Vitu vingine ni aibu hata kuvisoma, unasomaaaaaà mwisho wa maoni unajaribu kupima aliyeandika haya ana hali gani kiafya (afya ya fahamu) unabaki kumhirumia tu labda ana msongo wa mawazo, au upeo wake siyo wa kujadili jambo hili au anatumikia Kafiri ili apate mradi wake!!?
Mtu anaona sheria yoyote mbovu inayopitishwa Bungeni tena kwa malengo binafsi ya kakikundi ka watu haimhusu, anadhani sheria kandamizi ni kwa ajili ya kina Lema na Mdee. Hata Kinana hakutegemea kwamba kuna siku atalazimika kuomba radhi huku akiwa kakoksewa yeye. Nape hakutegemea kuna siku atatembelea magoti mita 120 kwenda kusujudu mbele ya binadamu mwenzake ili apewe ruhusa ya kufunguliwa geti akaombe msamaha pasipo na kosa.
Hi k vitoto vya uvccm vijinga sana ninapewa buku 7 vinavimba mabichwa
 
Back
Top Bottom