Hawara aliyempiga kibuti aukwaa u-Jaji... Kidume ajipanga upya!

Jamii itaendelea kumthamini mwanamke aliyeolewa kulikoni yule ambaye ni kapera.........it is not fair but it is the reality of the WORLD we are living in........ni ubaguzi .....yes, but what are we gonna do about it?
 
Jamii itaendelea kumthamini mwanamke aliyeolewa kulikoni yule ambaye ni kapera.........it is not fair but it is the reality of the WORLD we are living in........ni ubaguzi .....yes, but what are we gonna do about it?

kwa wale wasiothamini wanawake wasioolewa wanakosea sana, kwanza heshima ya mtu hupimwa kwa mambo mengi sana na ndoa likiwemo lakini si haki kama ndoa itachukua nafasi kubwa katika kupima thamani ya mtu awe mke au mume. Na tukizungumzia ndoa basi tuseme tuwathamini wale walio kwenye ndoa zilizosimama kweli maana ndoa nyingi zimejaa mambo makubwa ya ajabuajabu na wakati mwingine unaweza kuwaza kwa nini hawa wanandoa waliingia kwenye ndoa wakati wanajua fika wataishi kwenye ndoa ambayo itakuwa mfano mbaya mbele za watu! tumthamini mtu kwa tabia yake njema, busara, uchapa kazi, upendo, mchango wake kwa jamii, ubunifu wake, uadilifu n.k n.k hata hao ambao hawajaoa/kuolewa usidhani wote wanapenda, pengine wanatamani ila hawajapata tu perfect match, au wana matatizo binafsi ambayo hayawezi kuruhusu kuwa kwenye ndoa. bora kubaki single kuliko kuoa/kuolewa halafu kila siku unaonekana unazini nje ya ndoa, mnagombana usiku kucha, kupigana, mabegi kichwani kila ck n.k
 
Muhanga ...jamii ni jamii tu hata kama imekosea lakini hizo ndizo samani zake.....out of wedlock a woman is less valued...............unfair.......probably yes..............but that is how the society feels...................a man out of wedlock is also shunned ingawaje siyo sana.......
 
Sawa tu, ikiwa mungu anasamehe kwanini sisi tusisameheane. Zimwi likujualo halikuli likakwisha, huyo itakuwa pia watoto wa mjini walishamuweza akaona bora arudie old is gold. Mimi sioni shida endapo wenyewe wameridhiana!

jamani sie watoto wa mijini mbona tuna ustaarabu tu huyo jaji namjua na yeye mwenyewe hajatulia alikuaga mapepe ndio maana akakimbiwa
 
kwan huyo jaji kwa miaka mitano aliwezaje kuishi bila huyo mwanaume hadi sasa ashindwe kumkataa huyo mwenye mapenzi ya gundi??(mapenzi ambayo saa yoyote yanaachia!
 

I always call those kind ofpeople 'long- sighted' though they have eyes still cannot see things clearly!
 
Muhanga........longsightedness is good but shortsightedness is bad..............which way then?
 
jinga ilo uyo jamaa anapenda chapaa na hana penzi hata moja unalilia pesa za mama hahahaa!!!
 
Muhanga........longsightedness is good but shortsightedness is bad..............which way then?

longsighted.... cannot see clearly things that are close to them, hence needs glasses! kuna haja gani kuona vitu vya mbaaali wakati vya karibu huvioni? maana unaweza ukajikwaa kwa vitu vya karibu wakati ukiwa bize kuangalia vya mbali! nilimaanisha hivyo hivyo longsighted.
 
Mambo ya Jaffaray na Rose,baada ya mamii kuukwaaa ubunge wa EA jamaa kala matapishi yake,ameamua angalau aambulie vijisenti vya ubunge wa EA hata ule uzee na ukicheche wa RB ambao Jaffaray alitutangazia laivu bila chenga pale Clouds FM na FB sasa umepotelea kwenye thin air.Marehemu Marijani Rajabu aliwahi kunena kwenye wimbo wake mmoja kuwa PESA SABUNI YA ROHO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…