Hawavumi lakini wamo "KULA CHUMA HICHO"

Katkit

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2023
Posts
1,893
Reaction score
4,641
Nipo home leo na kifurushi cha decoder kimekata nkasema ngoja niangalie hizi local channels, ghafla nipo ITV nakutana na hicho kipindi. Sikuwahi kujua msemo wa "kula chuma hicho" umeanzia wapi, haki nimecheka sana leo afanalek!.
 
Nipo home leo na kifurushi cha decoder kimekata nkasema ngoja niangalie hizi local channels, ghafla nipo ITV nakutana na hicho kipindi. Sikuwahi kujua msemo wa "kula chuma hicho" umeanzia wapi, haki nimecheka sana leo afanalek!.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€hiko chuma chenyewe sasa πŸ˜€πŸ˜€
 
Nipo home leo na kifurushi cha decoder kimekata nkasema ngoja niangalie hizi local channels, ghafla nipo ITV nakutana na hicho kipindi. Sikuwahi kujua msemo wa "kula chuma hicho" umeanzia wapi, haki nimecheka sana leo afanalek!.
Hahaaaa!!huyo ndio Mzee zomboko(mzee wa kula chuma hicho)
 
Kuna bi dada mmoja aliimba off key ubeti mzima na kibwagizo chake [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Comment zenu zinanichekesha sana, sema yule mzee kafanana na kipindi chake
 
Hapo ndo kwenye accomodation ya false hope
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…