Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Ndugu wanajamvi mimi binafsi huwa nashangaa sana inawezekanaje msanii Marioo ambaye kwa sasa ameachia wimbo wake unaokwenda kwa jina la YALE hafanyi vizuri ukilinganisha na kipaji chake alichonacho?
Nimekaa nikawaza hivi huu wimbo ingekuwa umeimbwa na msanii yeyote wa WCB lavalava au mbosso ungekuwa na viewers wengi sana na ungekuwa umesambaa sehemu mbali mbali nchini
Nimekaa nikawaza hivi huu wimbo ingekuwa umeimbwa na msanii yeyote wa WCB lavalava au mbosso ungekuwa na viewers wengi sana na ungekuwa umesambaa sehemu mbali mbali nchini