Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
- Thread starter
- #21
Hahaha kuna mdau hapo juu kusema dogo amekosa mganga tuKatika nyimbo zinazonishangaza kushindwa kuhit ni huu wa Mensen, kwangu mimi tangu mwakahuu uanze hakuna wimbo wa kuuzidi huu, nawashauri wasanii mumuulizage Diamond mbinu anazotumia kama anamganga wake kule Kigoma awapeleke[emoji16], wimbo kama huu unashindwaje kuwa na views Milioni 10? Kama M10 haiwezekani basi hata Mil 1 ishindikane kweli?[emoji51]