Hawavumi: Msanii Marioo ni kwa sababu hayupo WCB?

Hawavumi: Msanii Marioo ni kwa sababu hayupo WCB?

Katika nyimbo zinazonishangaza kushindwa kuhit ni huu wa Mensen, kwangu mimi tangu mwakahuu uanze hakuna wimbo wa kuuzidi huu, nawashauri wasanii mumuulizage Diamond mbinu anazotumia kama anamganga wake kule Kigoma awapeleke[emoji16], wimbo kama huu unashindwaje kuwa na views Milioni 10? Kama M10 haiwezekani basi hata Mil 1 ishindikane kweli?[emoji51]
Hahaha kuna mdau hapo juu kusema dogo amekosa mganga tu
 
dogo anajua sana kuimba Huyo "" tatizo hajaenda kwa mganga...kupigwa chale "" ingekuwa amefnya hivyo wakati dar ingekuwa haitoshi "" Dada zetu wote beki zingekuwa hazikabi kwa jamaa
Siku hizi at least anavuma vuma
 
dogo anajua sana kuimba Huyo "" tatizo hajaenda kwa mganga...kupigwa chale "" ingekuwa amefnya hivyo wakati dar ingekuwa haitoshi "" Dada zetu wote beki zingekuwa hazikabi kwa jamaa
Atakuwa kashapata mganga?
 
Sijapenda alivokosa ,mbona mtaani nyimbo zake zinapigwa sana au sio kigezo?[emoji16]
Nyimbo mbovu zote hawezi toboa huyo, huwa mnampa kichwa tuu , tofauti na chibonge mi mwenyewe siajwah mwelewa hitsong nyingine, kulia lia tuu mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom