we ndo ulianza nae mkuu?kama sio alietangulia ilikuaje?
Sasa atajuaje habari za mtangulizi wake??
Sometimes tunauliza maswali ambayo yanaweza kumfanya mtu apate kichaa!
Ana 24 now. Hana tatizo la alergy yoyote. Yah ananipenda. Stress za kawada tu kwani ndio ameanza kazi hivi karibuni so hajaizoea kivile. Nisaidie mkuu.Ana umri gani? Inawezekana ni menopause, Ana aina yoyote ya allergy? Anakupenda? Anasumbuliwa na stress, anxiety au physiological issues? Tuanzie hapo mkuu.