Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Pia:
1. Wahaya, wanaume kwa wanawake ndio kabila malaya kuliko kabila lingine Tanzania nzima

2. Wahaya ndio walioingiza ukimwi hapa nchini 1981, mtu wa kwanza kuugua ukimwi alikuwa ni mhaya aliyejulikana kwa jina la Juliana, na ukimwi ulitambulika kwa jina hilo kwa miaka kadhaa iliyofuata hapa nchini.

3. Wahaya, sio kwamba wana akili, ila wameona umuhimu wa elimu kwa sababu ilifika huko mapema kwa njia ya ukoloni.

4. Wahaya hubebana na kupendeleana zaidi kuliko makabila mengine, wakifuatiwa na wachagga.

5. Wahaya hawana akili za asili ila hutumia nguvu nyingi sana kusoma, kama vile kukesha wakisoma and so on, ili mradi tu wavunje rekodi.

6. Wahaya ndio kabila linalopenda sifa zaidi kuliko kabila jingine lolote nchini.

7. Wahaya ndio kabila la kwanza kuuza na kunua ****

8. Wahaya walikufa sana kwa ukimwi kwa sababu ngono zao wanafanya hadi katika level ya familia, yaani kaka na dada, mama na mtoto, baba na mtoto. Kuna familia zilizoteketea mazima.

9. Wahaya pia ndio kabila linaloibukia kwa utapeli hivi sasa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wahaya wana akili si kwa asili tu bali pia sababu za kihistoria kuna shule nyingi sana kule, hiyo ni sawa na Moshi, sasa darasa au chuo limejaa watu hao unategemea nini, Japo wahaya akili zao zote huwatoweka na kubaki na fuvu tu mara waonapo skirt over
 
Kitu ninachowashangaa mnaowapiga vita Wahaya ni kimoja ...
Kuwa makini kichwani sio kumiliki mali ...
Galileo alikuwa na nini?
Newton alikuwa na nini?
Yesu Kristo alikuwa na nini?
Watu hawa (Wahaya) wana uelewa wa hali ya juu na wanaamini zaidi mawazo zaidi ya vitu. Mwenye kukupa mawazo mazuri ni mkubwa zaidi ya mwenye kukupa kitu halisi. Ila wengi wa wachangiaji wa humu walishakariri kwamba Wahaya ni wabaya - ok! Ila kukaririshwa ni sawa na kupumbazwa! Pingeni kwa hoja sio kupost utumbo!
Mfano tukiwaongea watu wa Mara (Wakurya) - umiliki wao wa mali ni kwa sababu ya ushujaa wao - ni vinara kwenye ushujaa na hiyo haipingiki.
Wahaya ni watu wa utaratibu na ndo maana wanasemwa ndivyo sivyo. Kumbuka mzee wa watu alivyohusishwa kwenye kashfa ya ESCROW lakini kakaa kimya .. unajua ni kwa nini?
Yote yanayoongelewa aliyajua kabla ya kuongelewa .. wanaopiga kelele ni mashabiki wa matukio.
Kijana una maono makubwa sana. Kama Tanzania ingepewa watu kama nyinyi tungekuwa mbali Sana katika maendeleo
 
Kitu ninachowashangaa mnaowapiga vita Wahaya ni kimoja ...
Kuwa makini kichwani sio kumiliki mali ...
Galileo alikuwa na nini?
Newton alikuwa na nini?
Yesu Kristo alikuwa na nini?
Watu hawa (Wahaya) wana uelewa wa hali ya juu na wanaamini zaidi mawazo zaidi ya vitu. Mwenye kukupa mawazo mazuri ni mkubwa zaidi ya mwenye kukupa kitu halisi. Ila wengi wa wachangiaji wa humu walishakariri kwamba Wahaya ni wabaya - ok! Ila kukaririshwa ni sawa na kupumbazwa! Pingeni kwa hoja sio kupost utumbo!
Mfano tukiwaongea watu wa Mara (Wakurya) - umiliki wao wa mali ni kwa sababu ya ushujaa wao - ni vinara kwenye ushujaa na hiyo haipingiki.
Wahaya ni watu wa utaratibu na ndo maana wanasemwa ndivyo sivyo. Kumbuka mzee wa watu alivyohusishwa kwenye kashfa ya ESCROW lakini kakaa kimya .. unajua ni kwa nini?
Yote yanayoongelewa aliyajua kabla ya kuongelewa .. wanaopiga kelele ni mashabiki wa matukio.
This is the best comment for this thread!. OVER.

wakola, kasinge
 
Siwez nikapingana na muanzisha thread hii hata kidogo, kuna mengi ambayo hajayaweka hapa juu ya wahaya, so civilized society in Africa, wahaya , wanyakyusa na wachaga kwa mbali ndo watu au ndo alama za Tanzania, hata villagization haikupagusa kabisa uko, maana walijua mapema kujipanga na kujiendesha, leo hii ukishtukiza ukasema WAHAYA au WACHAGA wajitawale kiwe kinchi, watapiga hatua Kubwa na hawatakosa pa kuanzia, lakin, wakurupue wagogo, mama yangu,

NANUKUU PROFESSOR MMOJA WA KIKURYA " IF I COME ACROSS WITH A PROFESSOR KNOW AS A MAN FROM HAYA TRIBE NO QUESTION ON THAT, BUT IF THE PROFESSOR WILL BE FROM GOGO PEOPLE, I HAVE TO DOUBT A BIT,
 
Wahaya nikwali wanaogazi uzizi nawaoba sana vijana wezagu usikosee kuowa mimi musukoma siku moja nilieda bukoba kufanya kazi nikapata musichana wakihaya kirich nikuta dar nilikuwa noma sana nilimuta na jama yupo nae dani hadi leo hii sitaki kuwa na muke muhaya
Utumbo huu jamani, huyu alienda Bk kufanya kazi gani? labda alienda kusaidia kukamata senene.
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis
Umejitahidi sana hongera! lakini juhudi zako zimeongezwa sana na ushabiki na sio reality.

Wachaga (chaga) ndiyo kabila lenye wasomi wengi zaidi Tanzania na Nje ya Tanzania. Ebu kwa ufahamu wako weka orodha ya wachaga uone na ulinganishe. Mimi sio mchaga ila ni kabila la 10 Afrika kwa kuwa na Elimu. na wahaya hawapo kabisa. Anza na maprofesa tafadhari.

Na tushukuru tu haya majamaa (wachaga) yamejikita kwenye kutafuta noti yange egemea kabisa kwenye elimu tungekwisha kabisa.


LAKINI NI UPUUZI KABISA KUANZA KUZUNGUMZIA MAKABILA MAKABILA KATIKA KARNE HII. IT IS SHAME!!!!
 
Umejitahidi sana hongera! lakini juhudi zako zimeongezwa sana na ushabiki na sio reality.

Wachaga (chaga) ndiyo kabila lenye wasomi wengi zaidi Tanzania na Nje ya Tanzania. Ebu kwa ufahamu wako weka orodha ya wachaga uone na ulinganishe. Mimi sio mchaga ila ni kabila la 10 Afrika kwa kuwa na Elimu. na wahaya hawapo kabisa. Anza na maprofesa tafadhari.

Na tushukuru tu haya majamaa (wachaga) yamejikita kwenye kutafuta noti yange egemea kabisa kwenye elimu tungekwisha kabisa.


LAKINI NI UPUUZI KABISA KUANZA KUZUNGUMZIA MAKABILA MAKABILA KATIKA KARNE HII. IT IS SHAME!!!!
CHOCHOTE KILICHOPO NI LAZIMA KIONGELEWE TU!
 
Kwa kuwa wao ndio waliosoma na kushika nafasi za utendaji, wao ndio waliosababisha Tanzania kuwa nchi maskini. Kwa hiyo kukariri siyo akili. Wenye akili hugundua mambo mapya siyo Kukariri mambo yaliyopita. Kama wangekuwa na akili leo hii Tanzania ingekuwa nchi Tajiri.
 
Kweli nimeamini elimu hii tuliyorithi kutoka mkoloni bado inaendelea kutufanya watumwa wa wazungu. Thread kama hii inaonyesha jinsi DOZI ya divide and rule ya Mwingereza ilivyokuwa kali.

Hivi unajua ukianza kubagua kabila moja na jingine utaishia wapi? Mwisho utafikia kwenye kukubali race fulani ni bora duniani kuliko zote. Hapo unakuwa umefikia mahali alipokuwa amefikia Adolf Hitler.

Pamoja na elimu mtu uliyopata ya kuanzisha theead kama hii bado unashindwa kujua kuwa eneo la Kagera, Kilimanjaro na Mbeya yalipata advantage zaidi tangu ukoloni hivyo kupata maendeleo mapema kuliko jamii nyingine? Hamjui kuwa mkoloni alitaka watu wajione bora kuliko wengine ili pasiwe na ushirikiano, na kwa kugawanya hivyo baadhi ya makabila yakapata advantage na kuaminishwa au kupendelewa kuliko mengine. Ugonjwa huu ndio unaowatafuna Watutsi huko Rwanda na Burundi.

Huwezi walinganisha watu unless umedhibiti mazingira yao kama vile socialization, chakula, na privileges ziwe sawa. Otherwise, ni kuonyesha elimu uliyopata bado haijakusaidia kuwa critical thinker.
 
Kwa afrika mashhariki watu wenye akili sana wanapatikana eneo la kuzunguza ziwa victoria wanaokula sana samaki na maeneo yanayolima kahawa,chai na ambao chakula chao kikuu ni ndizi

Kimpangilio kuanzia la kwanza watu wenye akili sana ni

1.Wajaluo wametoa hadi Obama raisi wa Marekani
2.Wachaga
3.wahaya
4.Watusi
5.wanyakyusa

Makabila mengine wana akili za wastani
 
CHOCHOTE KILICHOPO NI LAZIMA KIONGELEWE TU!
Malisoka
Malisoka unaloss point, kuwa na wasomi wengi haimaanishi ni kuwa intelligent people wengi, yawezekana ni nafasi za kujoin darasa ni nyingi kwa chagga kutokana na idadi ya shule walizonazo! Intelligence ni kitu tofauti Malisoka.
 
Back
Top Bottom