Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

*WAHAYA, THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA (EASTWARD) FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA*

*Nimepata sehemu TAFITI (RESEARCH) inayoonesha yafuatayo:*
*SHULENI*
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa *WAHAYA* top three mmoja lazima awe Muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu .
*FACTS*
.Best student UDSM 2005 - Benson Kagashe
. Best student 2009 Mr Denice Byarushengo
. Best student UDSM 2014. Mr William Pascal
. Best student COET-UDSM 2015 Mr Almachius Kahwa.
Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita Chuo Kikuu kikubwa UDSM kimepata Best student kabila la *WAHAYA 12 ,***
International Organization
1. Texas Power Chief Operations - Wellington Kamala
2. IMF africa representative - Delphine Rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard University for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced Jakaya Kikwete and Lipumba to be economic scholars
4. James Kateka from Bukoba, general chairman of Lawyers in the World, Scholar Harvard University,
5. James Rugemalila General Manager of VIP Engineering, Academician,
6. Florian Rugambwa the first Bishop and Cardinal in Africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya Mutegeki , member of Board of Nuclear , USA
9. *SIR GEORGE KAHAMA*, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa Malikia akampa u SIR.

*NDANI YA NCHI KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,*
*maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu:*
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
mfano:
A. Harvard University- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga Baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard University,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof Kaijage , University of Birmingham
E. Mark Rweyemamu director of GALV
Pia *General Education Forum* imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
maprofesa 172 walitambulika kutoka Kagera,Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya Kiziba,
Kwa hiyo sehemu nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki
kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa KAGERA ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katika wilaya ya Bukoba Mjini, halikuitwa bunge direct ila ilikuwa ni vikao vya WAKAMA kila mwezi vinaendeshwa sehemu inahitwa ACHEMBA RWAMISHENYE, watu wa kule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 NYERERE akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakoloni walishangaa kuona shughuli za Bajeti, Sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa Wahaya na wa Kikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

*TAASISI ZA SASA*
-Katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya:
TPB- Leticy Rutashobya Mkurugenzi mkuu
TPA - Mwanasheria Mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize Malinzi
TIC- Madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel Kamuzora
UDSM- Prof Mukandara
CRD- Consolatha Ngimbwa General Manager
NBC : Pius Tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha Kazaula
UHAMIAJI: MR Mikinga
Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?
Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha *HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA*
Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 Mwalimu NYERERE akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda Secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,
Wakati watu wengine kama *DODOMA* mwenye Marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza:
-Ndyamukama
-Tibalemwa
- Rutashobya
-Kagasheki
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa


copy and paste
Umesahau hawa bukoba inaongoza tz kwa kutoa maaskofu wengi nchini ikitoa hata askofu wa kwanza mwafrika maaskofu hao ni
1.askofu Deusderius Rwoma jimbo la bukoba
2.askofu Methodius kilaini jimbo la bukoba
3.askofu protace Rugambwa mshauri wa papa
4.askofu novatus Rugambwa balozi wa papa Honduras
5.askofu kyaruzi jimbo la sumbawanga
6.askofu mwoleka rulenge ngara
7.askofu nkaranga
8.kardinali Rugambwa kardinali wa kwanza mweusi nk
9.padri Pius Rutechura mkuu wa amecea mashariki mwa Africa nk
Katika ufaulu bado wanazidi kupeta mwaka Jana padri delphinus Rwehumbiza amekuwa best students kwenye chuo cha cuea catholic university of eastern Africa
.jimbo la bukoba ndo linaongoza tz kuwa na mapadre wengi zaidi Tanzania likifatiwa na moshi
Mosinyori gozbert byamungu aliponea chupuchupu kuuliwa na wazungu mjini Roma baada ya kuwakimbiza kielimu wazungu wengi na hata kuwazidi walimu wake katika chuo kikuu cha urbaniana hata hivyo amerudi bongo na hatumii simu akiogopa kukamatwa na kuuliwa yeya anaongea kilatini vzr kuliko hata waroma wenyewe mpaka wanataka kumuua hao ndo nshomile bwana na huo ni uwanja wa dini tu
 
Wako vizuri kichwani, hata wakiwa hawajasoma hapa kwetu kwenye taasisi ya biashara namtolea mfano bosi Ruge Mutahaba.

Ila..... ila.... nilisikia huwa wanasifika kwa.....

Kwa.....

Kwa......

Yaani ni wataalam wa......

View attachment 667887
Ila kwa kujisifu tuu na madharau hawajambo, utasikia rweyemamu anamuagiza houseboy wake hebu chukua hizi funguo za vanguard ukanunue chakula cha boby (mbwa) hapo supermarket.

Hahahahaa pamoja na madharau nachowapendea wanajua kusaidiana kwa kunyanyuana na wanajua kutafuta pesa ndo maana matumizi yao huwa ni makubwa na ya dharau. Wanapenda sana pride labda ni inborn.

Ever Smiling Kasie.
Hiyo ni kawaida mkuu ya wahaya sifa ya kwake kuu ambayo anaweza kukutwanga ile mbaya ni kumzarau hata siku moja usimdharau mhaya vinginevyo utamuona mbaya na yeye pia hajidharau anataka kuwa juu mda wote hasa juu ya makabila mengine na wahaya wenzake ndo maana wanaonekana watu wa kupenda sifa sana
 
Mrudi kupajenga kwenu sasa
Mkuu ila siku hizi wameanza kurudi ingawa wengine bado walio bukoba ni mashahidi hivi karibuni uwekezaji umeanza kuonekana na wanajenga sana vijijini kuliko mjini lakini siku hizi hata Bk imeanza kuamuka kwa kasi
 
Mbona ni Chuo kimoja tu, mie nawasifu wale wanao kuwa best secondary lkn hivyo vyuo vyenu vya kikabila siamini. Kuna uozo sana hapo Udsm
Duu hebu tazama matokeo ya form four ,form two,la saba,na la nne huone kama kagera ilishawahi kukosa ten best.kuanzia 2012 ukipata mwaka ambao kagera haimo ten best unitag.
 
Wahaya siasa zimewafarakanisha utafti na ukienda bukba unajiuliz hv uku ndiko wanakotoka hawa watu kweli... Nasikia kulikuwa na collision kati ya mwalm na baadhi wa wahaya.. Mambo yakabadilika ghafla labda na hilo la passmark likaongezwa,

Kwa sasa majumba yapo ndani ya mgomba.. Mjini wamewaachia wageni na wahindi.. Ukifika bukoba lugha kuu ni kihaya.
Ila tangu tetemeko litokee bukoba imeanza kubadilika na kukua kwa kasi tena kimyakimya stendi wanajenga ya kisasa ambayo ilikuwa jipu kubwa maeneo ya mbali na mji kyakairabwa.speed imeongezeka ya ukuaji na kupnuka i
 
Haha na vile viji Choo vyao wanapo tuama kama maji ya mvua,ukiwaona utahisi ni mashetani,maana mchana kutwa wanashinda kula maparachichi [emoji16] [emoji16] [emoji16] .

Wapare tuko juu.
upareni kwa milima mmmmh, hivi karibuni nilikuwa ndungu......
 
Hiyo ni kawaida mkuu ya wahaya sifa ya kwake kuu ambayo anaweza kukutwanga ile mbaya ni kumzarau hata siku moja usimdharau mhaya vinginevyo utamuona mbaya na yeye pia hajidharau anataka kuwa juu mda wote hasa juu ya makabila mengine na wahaya wenzake ndo maana wanaonekana watu wa kupenda sifa sana
sijui wakidharauliana wenyewe kwa wenyewe inakuaje
 
Back
Top Bottom