Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Tatizo sio ujiniasi bali shule zilifika mapema kwao nakupelekea wao kuonekana wasomi sana but subiri miaka 50 ijayo kama hujasikia Haya limekuwa kabila la 10 kwa elimu tz maana wengi watakuwa wameifikia shule na kusomesha
 
hahahaha ukienda bukoba ndo utajua walivyo vichwa maji mpaka unashangaa

nimesoma nao hawakuwa wakali kiviiile, sema nilikutana na moja ilo chuoni lile jamaa linajua. dharau akili kubwa, kwa mara ya kwanza nilikuwa mnyonge mbele ya muhaya
Nani kakuambia muhaya serious na shule 100% akasomea Bukoba Mjini zile shule za pale ni KwA ajili ya kwenu ninyi
 
Almachius kahwa nilisoma nae advance pale Azania alikuwa wa kawaida tu,japo chuo tulienda different university ila now namuona fb na vipicha picha yupo Japan huko ila niwapongeze mmefanikiwa kwenye kupiga shule na mme fail kupatengeneza nyumbani
Huyo Almachus Kahwa alikuwa bright tena mpole mpole hv nimesoma nae O level, Jamaa wa kawaida ukimtizama lakini ni mTu mmoja Bright ukikubali kuongea nae lugha ya kisoma na kuFanya evaluation ya vitu sensitivity. Na atakuwa alikuchanganya kwa sababu sio msomaji sana kama wewe hila tambua hapo Azania alikuja na Div 1 point 9 na somaji yake hile ya magumashi


Na tambua Real recognise Real yawezekana wewe ulikuwa Realm.
 
If you're a good historian, then you probably have read about Sir Apollo Kaggwa...
I doubt... he probably heard that from some jerk! or so. George Kahama isn't one of them.
 
Kufaulu katika masomo ya mfumo huu wa elimu ya Tanzania wala sio kuwa na IQ kubwa ila inatokana na kuwa na uwezo mkubwa wa kukariri.

Skills is always more important than knowledge.

Dunia inahitaji watu Wabunifu na Wagunduzi ili wawe watatuzi wa shida zilizopo katika jamii na ulimwengu.

Dunia haihitaji bookish people, awe PHD holder au Proffesor.
 
Rubbish, all scientific discoveries were done by university Professors , from London, Cambridge, MIT, Oxford, and many others
Nobel Prizes in Science are awarded to Professors, sema maprof wa Bongo ndio kinyaa.
Rekebisha andiko lako
 
Rubbish, all scientific discoveries were done by university Professors , from London, Cambridge, MIT, Oxford, and many others
Nobel Prizes in Science are awarded to Professors, sema maprof wa Bongo ndio kinyaa.
Rekebisha andiko lako
Ukizungumzia Professors wa vyuo vikuu hivyo ulivyotaja u make sense ila kwa madoctors na professors wa hapa Tanzania hakuna chochote zaidi ya kuishia kuwa lecturers kufundisha yale waliyofundishwa ama kuingia katika siasa.

Ujengaji wa dhana na Ubunifu wa vitu vitakavyokuwa msaada wa dunia ni ZERO.

Watu weusi wenye nywele ngumu na pua pana ni watu wa hovyo hovyo kuliko races zingine zote duniani.


 
Ila wahaya sifa yao kubwa,,nyodo,dharau,kuropokaropoka bila kujali mazingira aliyopo,zaidi sana umalaya,Nina shemeji zngu 3,,mmoja 58, yrs,,mwingine,56 yrs,mwingine 50 yrs,,na mwngne,47 yrs,,had sasa hawana mpango wa kuoa,,ni ma super tongoza!!!yanapenda kuitwa baby hadi leo
 
Malaya ni hao shemeji zako 3 au 4 sio wahaya wote. Kwani Hayati Kalidinari Laurian Rubambwa, Hayati, Baba askofu Josiah Kibira, Askofu mtaafu Samson Mshemba, Prof. Anna Kajumlo Tibajuka, Prof. Kami Rwegasira, Prof. Justian Rweyemamu, Hayati David Zimbihile, Prof. Katoke unawaona ni kundi la shemeji zako? Nani nimetaja kwa uchache, Acha kuonyesha ujinga wako hadharani. Kwani kwenye kabila lako hakuna msamiati wa neno "malaya"? Huo ni ubaguzi, ni udharirishaji na ukabila uliovuka mipaka.
 
Kati ya benki 5 zilizofutwa na BoT kwa kushindwa kutimiza matakwa ya kibenki, moja ni ya chama kikuu cha ushirika Kagera.
 
Sifa kuu ya wahaya ni uasherati. Hata waanzisha madanguro dar,ni,,,,,,, ,hata ugonjwa huu ulianzia kwa,,,,, ,hata mtaani wahaya ni noma,kama wewe ni mhaya na tabia hiyo juu huna basi kaa kimyaaaaa!!!
 
Umejuaje hao uliowataja sio malaya? Unalala nao kitanda kimoja 24/7?
 
Sifa kuu ya wahaya ni uasherati. Hata waanzisha madanguro dar,ni,,,,,,, ,hata ugonjwa huu ulianzia kwa,,,,, ,hata mtaani wahaya ni noma,kama wewe ni mhaya na tabia hiyo juu huna basi kaa kimyaaaaa!!!
We ni kabila gani?
 
Umejuaje hao uliowataja sio malaya? Unalala nao kitanda kimoja 24/7?
Unaposema hawa shemeji zangu sio wahaya,it means unawafahamu kuliko Mimi?kifupi wahaya hawana miiko,hata huyo David zimbihire alikuwaga mbunge,namfahamu,na watoto wake wote!!!tabia za wahaya znaeleweka,kama wewe huna basi kaa kimya!!!kuna wazee wa kihaya mtaani kama watano,hao ni noumaaa!!!kalagabaho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…