Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Kila kabila lina watu wenye IQ kubwa, Wahaya ni wengi kwa idadi, pia Wamishenari walipokuja waliwajengea shule hivyo wakapata fursa ya kusoma. Kuna makabila yamefanya vizuri sana kwenye elimu Mf. Wakerewe, Wanyakyusa, Wachaga, Wakurya, Waluo hata Wanyaturu na Wanyiramba wapo wenye IQ kubwa. Kwa Wahaya ni fursa waliwahi kupata pia ni watu wa matangazo sana.
 
Hehe
 
Haya nitajie Genious wa Kihaya anayefahamika .... Ni wa kukariri tu hao!!!
Ni Wellington kamala, Texas kuna wengi tu msome Justinian Rweyemamu, kuna jamaa anaitwa Mr nelcon barongo yuko Harvard, wapo wengi
 
Wapemba mao wamo...wengi wapo njee.
Hapa kwetu wapo kina barawa
Salim ahmed
Dr omar marehemu
Hawa wako poa.
Vyuo vya bara wapo maprof. Wengi
 
Kwa yeyote anayejua fundamentals za scintific research, conclusion yako si sahihi kabisa. hata baaadhi ya unazoziita facts si sahihi. Mfano mmoja tu kuitwa Sir na waingereza hakuna uhusiano na intelligence, ambayo kwa hapa umeipa a very narrow definition ya academic performance. Mwsiho nashindwa kufikiria kwa nini katika mambo yote tusoyajua umetafiti hili la kundi moja la Watanzania kua bora ya wenzao.
 
Walaji ndizi Muhaya, Muchaga, Mungazija intelligent sana statistically significant.
 
kwa kuwa this is JF its best we do the fact check

1. JAMES RUGEMALIRA alikuwa academician lini and how???

2. GEORGE KAHAMA hakuwahi na hajawahi kupewa u knighthood na HER MAJESTY THE QUEEN so he can't be called "SIR" in actual sense.

3. WANGAZIJA hawana akili hivyo unavyofikiria kwa sababu wangekuwa na akili hivyo BOB DENARD asingekuwa ana wahanithi kila kukicha


endeleeni kuongopeana
 
Hivi na yule aliyetengeneza chopa huko mbeya inakuwaje ss?
 
Hakika hakuna kama wahaya..ni level nyingine.. umemsaau malinzi kwenye mpira
 
The Haya people of Tanzania have been linked to one of the greatest scientific breakthroughs of all time: the advent of steel. Anthropologist Peter Schmidt discovered through the communication of oral tradition that the Haya have been forging steel for nearly 2000 years.
This discovery was made accidentally while Schmidt was learning about the history of the Haya via their oral tradition.
He was led to a tree which was said to rest on the spot of an ancestral furnace used to forge steel. A group of elders were later tasked with the challenge of recreating the forges.
At this time they were the only ones to remember the practice, which had fallen into disuse due in part to the abundance of steel flowing into the country from foreign sources. In spite of the lack of practice the elders were able to create a furnace using mud and grass which when burnt provided the carbon needed to transform the iron into steel.
Later investigation of the land yielded 13 other furnaces similar in design to the recreation set up by the elders. This process is very similar to open hearth furnace steelmaking.
These furnaces were carbon dated and were found to be as old as 2000 years, whereas steel of this caliber did not appear in Europe until several centuries later.
>==================<From the TIME Magazine:
The Haya tribe of Tanzania linked to one of the greatest scientific breakthroughs of all time...
 

Wewe jamaa tulia acha kurukaruka Kama popcorn zilizopo jikoni .... Nipe mfano wa genius wa KIHAYA ...

Ulishawahi kuona wapi wachagga wakijisifia kuwa wana Hela wewe ... Mara nyingi mchagga akiwa na mpunga husema ... Sina Hata senti babaangu ... Hali ngumu sana arawa ...

Lakini mhaya akiwa na kapaso atakaita JEEP ...
 
Mkuu,
Unaweza kutusaidia sisi wadau tuweze kuelewa sababu ya tarafa ya Kiziba mkoa wa Kagera kutoa idadi kubwa ya maprofesa Tanzania. Na sababu hizo ni nini?

Je sababu ni shule nzuri, walimu bora, exposure kuwa kama hauna PhD hutambuliki kama "msomi" tarafa ya Kiziba kiasi kila mwanafunzi wa shule kuanzia elimu ya msingi ana ndoto ya angalau PhD na sababu zingine kama za kiuchumi n.k tupe basi siri ili na sehemu zingine za Tanzania na tarafa zingine za mkoa wa Kagera waweze kufanya vizuri.

Ila kwa nchini Kenya inasemekana sehemu za western Kenya huko karibu na Kisumu kuna eneo la Siaya ambapo ndipo kuna idadi kubwa ya watu wenye PhDs kuliko sehemu yoyote ya nchi ya Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…