We kabila gani Kwanza .
Nami nikuchambue nilioshakutana nao
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Sasa kwa nin lectures wengi wawe nshomile?
Na sio UDSM Tu hata MUHAS, Bugando hata mkuu wa hospital ya Bugando pia ni nshomile.
Je kairuki hospital na chuo je? Vyote vinamilikiwa na wahaya.
Why wahaya?
Kuleni na nyie muwe na akili kama wahaya.Na muache kula "nsenene", kuleni samaki na "matoke" tu, nsenene wanayo madhara kama hamjui !![emoji16][emoji16]
Hebu tuje kwenye Sheria sasa.Wanapenda kazi ya ualimu kama jinsi Wakurya wanavyopenda kazi ya Jeshi na Polisi, full stop.
Lakini hata mapungufu tunayo
Kuleni na nyie muwe na akili kama wahaya.
Kuna Siri kubwa kwenye wadudu hao
Ila kuna uhusiano uliopo.maana history inasema wahaya walitoka misri walikuja kupitia mto nile na kupita Uganda na kussetle kagera .Hapo sasa, that is it, kwamba mapungufu mnayo.
Wewe sasa umekuwa "Muhaya bora" kuliko Wahaya wengine [emoji1317][emoji1317].--- siyo kujiita tu the most intelligent people bila kueleza mapungufu yenu.
The most intelligent people on earth are Isralites, by intelligence, I mean the ability of the brain to function effectively on several problems and issues facing mankind.
Hata vitabu vya Mungu vinakiri jambo hilo kwamba Isralites are very brainy, ni wengi wao ndio wanaoshikilia zawadi za Nobel in proportion to the world population.
Je, kama Wahaya wangekuwa na akili kama za Waisraeli ingekuwa vipi??[emoji16][emoji16], au angekuwepo Muhaya mmoja tu aliyepata zawadi ya Nobel ingekuwa vipi?![emoji16][emoji16].
Halafu nikadhani ungepinga kwamba nyinyi Wahaya hampendi kazi ya Ualimu.
Hao waha wanaokula migebuka kila siku .wako nyuma Sana kulinganisha na wahaya pamoja na kuwa watani wao.Kuleni Migebuka na Mawese, siyo kula Wadudu, sasa Paka ale nini??.
Nasikia huko hata unaweza kuoa kwa debe moja la nsenene,[emoji16][emoji16]
Ila kuna uhusiano uliopo.maana history inasema wahaya walitoka misri walikuja kupitia mto nile na kupita Uganda na kussetle kagera .
Pia waislaeli wanamapungufu Yao juzi wamechagua viongozi mashoga.
Hao waha wanaokula migebuka kila siku .wako nyuma Sana kulinganisha na wahaya pamoja na kuwa watani wao.
IWE MWANA ASHOMILE ! KULIKO MATAA ! ASHOMILE MPAKA FORM SIX ππWahaya mmekosa haya ya ukabila.
Ntakugambira stupid in front of your wife !!.π
Njoo kwenye mada Kwanza Acha kukurupuka.Keep in mind : Moshi is designed intelligently but Bukoba is behind
Inaonekana watu wengi, wanatami kuwa wahaya, kama ilivyo.IWE MWANA ASHOMILE ! KULIKO MATAA ! ASHOMILE MPAKA FORM SIX [emoji23][emoji23]
,MWANA ASHOMILE MPAKA UNIVERSITY BUT NO COURSE ! AGAMBA GENDA AGAMBA STOP[emoji16][emoji16][emoji16]
WAHAYA WAZEE WA CODE MIXING[emoji28][emoji28]
Leta research yako.Be serious, repeat your research.
Sasa hiv kuna bilionea mmoja Tu mweusi katika top ten ya bongo naye ni ally mufuruki muhaya wa huko BukobaWahaya ni misifa tu inawasumbua kwani wana kutabia cha kutaka kuonekana kuwa wana akili Kumbe wanalazimisha tu.
These guys ni wasanii ... Opportunists and hypocrites!
Hebu tuwekee wahaya mabilionea kwani kuwa kwenye hizo taasisi kwa wingi ulioutaja ni ishara kwamba wana elimu kubwa ... Sawa wana elimu but ARE THEY ABLE TO PUT THE KNOWLEDGE INTO PRACTICE?
Ndugu competence inaundwa na vitu muhimu vitatu: KNOWLEDGE, SKILLS & ATTITUDE (ASK). Tofauti Kati ya knowledge na skills ni kwamba knowledge (Intelligence Quotient - IQ hufanya watu waelewe vitu kwa wepesi kuliko wengine) inapatikana kwa kuhudhuria lecture na kusoma makabrasha meeengi na makubwa makubwa (wahaya ni mahiri hapa nakubali); SKILLS ni uwezo wa kutumia knowledge kusolve problems (hapa wako zero kwani miPhD na Uprofesa haujawasaidia kuleta Ubunifu katika kazi ... Ndio maana maprof wengi ni maskini ... Ukijumlisha vipato vya maprof na MaDR wote bongo havifikii nusu ya utajiri wa mtu Kama Dewj au Mengi); Attitude inamfanya mtu awe na low/high Emotional Intelligence/quotient (EQ) ... Hapa wahaya wengi wana EQ ndogo kwani Sifa mingi na kujifanya wajuvi huwafanya wanajamii wawakimbie ukiongeza na utapeli ndio basi tena.
Kwa hiyo mleta mada kujipanga upya ... Nenda ukasome kuhusu intelligence vizuri ndio uje umwage PUMBA zako hapa!!!
We ndo mbumbumbu kabisa.Wahaya ni misifa tu inawasumbua kwani wana kutabia cha kutaka kuonekana kuwa wana akili Kumbe wanalazimisha tu.
These guys ni wasanii ... Opportunists and hypocrites!
Hebu tuwekee wahaya mabilionea kwani kuwa kwenye hizo taasisi kwa wingi ulioutaja ni ishara kwamba wana elimu kubwa ... Sawa wana elimu but ARE THEY ABLE TO PUT THE KNOWLEDGE INTO PRACTICE?
Ndugu competence inaundwa na vitu muhimu vitatu: KNOWLEDGE, SKILLS & ATTITUDE (ASK). Tofauti Kati ya knowledge na skills ni kwamba knowledge (Intelligence Quotient - IQ hufanya watu waelewe vitu kwa wepesi kuliko wengine) inapatikana kwa kuhudhuria lecture na kusoma makabrasha meeengi na makubwa makubwa (wahaya ni mahiri hapa nakubali); SKILLS ni uwezo wa kutumia knowledge kusolve problems (hapa wako zero kwani miPhD na Uprofesa haujawasaidia kuleta Ubunifu katika kazi ... Ndio maana maprof wengi ni maskini ... Ukijumlisha vipato vya maprof na MaDR wote bongo havifikii nusu ya utajiri wa mtu Kama Dewj au Mengi); Attitude inamfanya mtu awe na low/high Emotional Intelligence/quotient (EQ) ... Hapa wahaya wengi wana EQ ndogo kwani Sifa mingi na kujifanya wajuvi huwafanya wanajamii wawakimbie ukiongeza na utapeli ndio basi tena.
Kwa hiyo mleta mada kujipanga upya ... Nenda ukasome kuhusu intelligence vizuri ndio uje umwage PUMBA zako hapa!!!