Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Hata Wagogo wamo
1.Best zabibu farmer 2003-Ndogwe Chigongwe
2.Best traditional music singer 1967-Madalabwete Msanjila
3.Best traditional actor 1995-Zebedayo Machimo
4.Mr Central Zone 1988-Matia Chibwaye.
 
KAGERA IKOJE LEO? KIMAENDELEO, NAMAANISHA.
Kagera kinaendeleo iko vizuri sana tena sana, tatizo lenu mnafuata ya wazungu, economic development And human development, vitu vinavyotofautiana , kagera ukipima mambo ya kipato kwa MTU mmoja mmoja utakuwa unawaonea, lakin ukipima kila muhaya alipi haijarishi ni London , iringa, mbeya dar na maendeleo yao wahaya wako juu, tofautisha neno wahaya, na watu waishio kagera
 
Usimbeze James rugemalira I academician safi,


http://www.google.ae/url?q=https://...ggVMAQ&usg=AFQjCNFcwxWxHGMlq8FVCzDX6QFY_TcuEQ

Anna Tibaijuka - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Wewe jamaa hujanielewa vizuri ... Soma comment vizuri ... Ndio maana nimelinganisha maprof na kina Mengi ambao kitaaluma hawako kivile Kama wahaya
Haujui kuwa Mengi anashahada ya ubobezi? Au unadhani ule u-dkt ni wa kupewa?
 
Hivi kuna mhaya aliyemzidi elimu Prof SOSPETER MUHONGO????? au kuna mtanzania aliyemzidi elimu MUHONGO?????
Wewe hujui unachoongea. Ubora wa pro. Muhongo ni kwenye geology huko. Huwezi mchukua Pro. Mhongo ukamlinganisha na pro. wa taaluma nyingine alafu ukasema pro. Mujonho ana elimu kuliko wengine
 
Mr Tanganyika namshangaa. Mleta mada ameonesha mifano. Huyu anakuja na terminologies kama sifa za kijinga, .....Hapa inaonesha Mr Tanganyika hana facts. Naamini hata tukisema Wachagga ni wafanyabiashara wazuri hapa nchini bado atabishi. Ndugu, there is no shortcut to maturity. Komaa taratibu.
 
Kabwinyola na wewe ni mhaya eee
 
Umeandika weee hadi ukachoka. Tupe reference basi. Maana kila mtu akianza kusifia kabila lake bila facts hapatatosha hapa.
 
Usije ukasema na mimi ni muhaya. Tafadhali sana.
 
1.Kwa nn mkoa wa Kagera wamechelewa kuwa na UNIVERSITIES?
2.Kwa nn Bukoba hapajajengwa kufikia hadhi ya kuwa CITY?
3.Kwa nn wahaya ni waoga? hata kiutendaji!! na
4. Kwa nn mabinti wa kihaya wamekuwa makahaba wa kutolea mifano? ....................
 
1.Kwa nn mkoa wa Kagera wamechelewa kuwa na UNIVERSITIES?
2.Kwa nn Bukoba hapajajengwa kufikia hadhi ya kuwa CITY?
3.Kwa nn wahaya ni waoga? hata kiutendaji!! na
4. Kwa nn mabinti wa kihaya wamekuwa makahaba wa kutolea mifano? ....................

Duh hiyo number nne unaweza kutupatia ushahidi usiokuwa na makengeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…