Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Daktar yupo sahihi kwa 70% kwa sababu vyakula alivyotaja ndio chakula cha Ubongo.


Kuhusu ww kula.. Hiyo ni kitu ni mchakato wa muda mrefu..kama hukuvipata wakat wa miaka mitano yako ya utoton.. Usijisumbue !!!


Kwaufupi, Watu wanaokula sana Samaki, Ndizi na vyakula vya Asilini toka mwaka 0 wake NI AKILI YAKE HUWA NI KUBWA, kwa mantiki hiyo Watu wa Kanda ya ziwa wana akili !!.
Wachaga wamo wamo kwasababu ya Ndizi wakulazo

Pili Wahaya na wachaga ni watu ambao walipata bahat ya kuelimishwa na Wazungu kutokana na HALI YA HEWA , ivi wazungu walikua wakianzisha shule mapema ktk haya maeneo.


Nikweli kabisa, km unataka mwanao awe aliyoko tombon ,na azaliwe na awe mwenye akili, Hakikisha unaenda clinic pamoja na mkeo, mpewe ushauri wa uaandaaji wa lishe ya Mama na lishe ya mtot........

Maelezo ni mengi !!!!!
 
Wahaya ndio kila kitu wengine mnajikongoja.Acha kabisa.Aione kyanaKyoMuhaya ,ekibira_ishengo
Siku hizi, Mmebakiwa na misifa tu.

Mmesoma lkn chakushangaza toka mpate uhuru HAMNA CHUO KIKUU KAGERA !!

Mmeishia kuishi nyumba za kupanga tu Town hapa, lkn tukienda vijijin kwenu bado wazazi wenu wanalala kwa nyasi.,, majan ya migomba, wanajisaidia vichakan .


Sifa mnazo Town..ila kwenu HAMNA KITU[emoji109]
 
Hili lina ukweli angalia makabila yote yenye uhakika wa kubadilisha mlo penye ardhi nzuri wanaopata vyakula vya freshi wana akili nyingi
Chunguza Kilimanjaro, Kagera, Mbeya, Mara na Wasukuma waliopo Kanda ya ziwa
Juzi kati nilikuwa natazama kipindi kimoja kinarushwa ITV kinaitwa "MEZA HURU". Mada ya kipindi hiki ilihusu UBONGO na walimualika mtaalam mmoja ambaye ni daktari bingwa wa masula ya ubongo kutoka Muhimbili.
Huyu mtaalam kwa kabila ni Muhaya.

Mwisho wa kipindi mtangazaji alimuuliza kuwa inasemekana wahaya ndio kabila lenye akili sana Tanzania, je, ni kweli?

Mataalamu yule alijibu ni kweli kabisa na akatoa sababu tatu,

KWANZA, akasema Wahaya wanaishi kando ya ziwa victoria na hivyo wanakula samaki sana ambazo zinawaongezea sana uwezo wa akili.

PILI, Wahaya wanaishi katika eneo la ikweta linalopata mvua ya kutosha na hivyo wanapata vyakula mbalimbali kwa wingi vikiwa fresh.

Na TATU, akasema ni mlo wa senene ambao huchangia sana afya bora ya akili.

Niseme sina ugomvi na vyakula kama hitaji muhimu kwa afya ya mwili na akili, Walakini na mimi niliendelea kujiuliza, Ni kweli wahaya ndio kabla lenye akili sana Tanzania?

Kwa heshima zote naomba nipingane na daktari bingwa yule wa masuala ya ubongo, kuwa SIO KWELI.

Kwanini napinga:

MOJA, Tunayo makabila mengi sana yanayoishi kando ya maziwa, mito, bahari na mabawa ambao nao chakula chao ni samaki, tuna wakurya na wengineo kule musoma, waha, wasukuma, wa ntwara, wapemba, watanga nk. Sasa sioni kwa nini na wao wasiitwe wenye akili sana.

PILI, Jamii za makabila wanaoishi eneo la Ikweta ni wengi ndani Afrika mashariki na kati na haswa katika eneo linaloitwa kitaalam "INTERLACUSTRINE REGION", likijumuisha maeneo yote yanayozunguka ziwa victoria. Sioni kwanini effect ya akili iende zaidi kwa wahaya.

TATU, Mtaalam alisifu ulaji wa senene kwa wana madini ya zinki. Naamini vyakula vingi tu vina madini haya wadudu mbalimbali kama kumbikumbi na mende, vyakula vya mbegumbegu jamii ya maharagwe na karanga n.k. Bado sioni kwanini effect kubwa iende kwenye akili za wahaya.

Nina amini mtaalamu huyu pamoja na wengine wenye imani hii ni kuwa kuwapo kwa Wahaya wengi, katika sekta fulani fulani za kisomi mfano Madaktari, Sheria, famasia, n.k, ni akili kubwa! Asichojua mtaalam huyu labda, nikuwa mafanikio hayo ni matokeo ya sera za kikoloni kuwekeza katika elimu haswa kwa baadhi ya maeneo.

Kila eneo limekuwa na product za aina ya watu kutegemea uwekezaji uliofanyika materially na intelectually.
SIO KWELI

Kwani akili inakaa kwenye kabila la mtu?

Wahaya walipata bahati au neema ya kupata elimu mapema kabla ya watanzania wa kabila zingine kwasababu wamisionari walijenga makao kule mapema.

Ndio maana udadi ya wasomi kwao ni kubwa na wanapenda kusoma ila sio kwamba wana akili kuliko watu wengine.

Makabila mengine waliopata elimu mapema ni Wachaga na wanyakyusa.
 
Janaa wanaongoza kuwa na Maprofesa wengi angalia chuo kama UDSM, SUA & MZUMBE hata PHD Holders wanao wakutosha kuliko kabila lolote la Tz sababu ni kwamba wakati wa Ukoloni jamaa walipata advantage ya kuwahi kutangulia kusoma shule alafu wasomi wao baada ya kupata elimu hawakuwa wenye kuzambaa ovyoovyo hususani walimu walikuwa wanarudi nyumbani kufundisha

Jambo hili limechangia sana jamaa kuwa mbele kitaaluma lakini upande wa pili pamoja jamaa kuwa wasomi sana mkoa wao wa Kagera upo nyuma kiuchumi ni katika mikoa maskini sana hakuna miondombinu nzuri, sio kitovu cha biashara wanachi wake wengi ni masikini sijaona impact ya elimu yao ktk kuendeleza Uchumi wa mkoa wao
 
Kama wana akili mbona wanajiuza (wanauza papuch) pale sudani kwa bei ya rejareja ? Wasitutoshe. Akili ni nywele kila mtu ana zake?
 
Janaa wanaongoza kuwa na Maprofesa wengi angalia chuo kama UDSM, SUA & MZUMBE hata PHD Holders wanao wakutosha kuliko kabila lolote la Tz sababu ni kwamba wakati wa Ukoloni jamaa walipata advantage ya kuwahi kutangulia kusoma shule alafu wasomi wao baada ya kupata elimu hawakuwa wenye kuzambaa ovyoovyo hususani walimu walikuwa wanarudi nyumbani kufundisha

Jambo hili limechangia sana jamaa kuwa mbele kitaaluma lakini upande wa pili pamoja jamaa kuwa wasomi sana mkoa wao wa Kagera upo nyuma kiuchumi ni katika mikoa maskini sana hakuna miondombinu nzuri, sio kitovu cha biashara wanachi wake wengi ni masikini sijaona impact ya elimu yao ktk kuendeleza Uchumi wa mkoa wao
Kusoma sana sio kujiletea Maendeleo, ni uoga wa maisha tu.

Elimu inatakiwa ikufungue ukapambane na fursa zinazokuzunguka na zinazozunguka jamii yako. Kabila kuwa na maprof na PhD holders wengi wakati kwao kila kitu wanashika mkia hapa Tz inatakiwa wajichunguze kama hiyo elimu imewasaidia chochote..
 
Kama aliyetoa hayo maoni ni mhaya then sioni kama Kuna haja ya kuumiza kichwa bali kumpuuza tu! Pride is the mother of arrogance!! Ni mhaya gani kafanya lolote ambalo unaweza sema kwamba,"Huyu mtu kichwa!". Kugundua katerero au?
Maxence mujwahuzi melo
 
Siku hizi, Mmebakiwa na misifa tu.

Mmesoma lkn chakushangaza toka mpate uhuru HAMNA CHUO KIKUU KAGERA !!

Mmeishia kuishi nyumba za kupanga tu Town hapa, lkn tukienda vijijin kwenu bado wazazi wenu wanalala kwa nyasi.,, majan ya migomba, wanajisaidia vichakan .


Sifa mnazo Town..ila kwenu HAMNA KITU[emoji109]
Hapo kwenye swala la nyumba (makazi bora) umepotoka. Vijiji vya Bukoba vimezingirwa na mijengo ya hatarii
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis
Umeandika upuuzi wa hali ya juu...karne ya sasa bado unakweza ukabila??...usitumie nguvu kubwa kujustify maoni yako hapo juu..relax watu wenye akili wanajulikana
 
Back
Top Bottom