Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oa kama bado mkuuHivi kuna mikoa huwa najiuliza kwa haraka haraka unakosaje mke.....
maana wife materials wengi tu....wala hutumii nguvu kuwapata.
Kigoma
Tabora
Katavi
Tanga
Shinyanga
Iringa
Mara/Musoma
Ruvuma
Rukwa
Lindi
Singida, na Pwani ni kidogo sana......
mikoa niliyotaja hapo juu ina viwanda vya wife materials.
Mikoa hatari kabisa, hakuna wife materials kiivo ni
Mbeya
Arusha
Mwanza
Dodoma
Kilimanjaro
Kagera, bukoba
Manyara
Dar kuna 80% ya wasio na maadili.
Watu wanalilia kwa kukimbilia sehemu ambazo hata historia zao hawazijui.
bila upendeleo wowote mimi natokea mkoa ambao wife material hakuna lakini nimesema ukweli ulio kweli.
Huu ni ugomvi.Tulia uone kivumbi chake.Hivi kuna mikoa huwa najiuliza kwa haraka haraka unakosaje mke.....
maana wife materials wengi tu....wala hutumii nguvu kuwapata.
Kigoma
Tabora
Katavi
Tanga
Shinyanga
Iringa
Mara/Musoma
Ruvuma
Rukwa
Lindi
Singida, na Pwani ni kidogo sana......
mikoa niliyotaja hapo juu ina viwanda vya wife materials.
Mikoa hatari kabisa, hakuna wife materials kiivo ni
Mbeya
Arusha
Mwanza
Dodoma
Kilimanjaro
Kagera, bukoba
Manyara
Dar kuna 80% ya wasio na maadili.
Watu wanalilia kwa kukimbilia sehemu ambazo hata historia zao hawazijui.
bila upendeleo wowote mimi natokea mkoa ambao wife material hakuna lakini nimesema ukweli ulio kweli.
Hamjawazoea tu, hawana baya mama & dada zetu.Sawa Rukwa added, My sweet home ni Kili lakini sijawa biased, mbeya wanawake wenu sio mchezo wasikie tu.
Mimi mwenyewe namshangaa. Bora angeweka simiyu badala ya Tabora. Wanyamwezi ni wala bata Hatari and they are ready for s***x all the time.Tabora 😀😀😀😀unawafahamu wanyamwezi au unawaona kwenye picha?
NAKAZIAWakipata mwanaume sahihi huwa wanatulia, niamini mimi wakiharibikiwa ni ovyo.
Tabora ni Singida iliyofumba jicho moja
😅😅😅😅 na Arusha ni Moshi iliyofumba jicho moja.