Tetesi: Haya hapa majina mengine katika Ripoti ya Mali za CCM (Makinikia ya CCM)

Kumbe bulemb* ndiye mhuni namba 1!! Ndiyo maana ialikuwa wa 1 kuchomoka toka shimoni kujaribu kurudisha mashambulizi!!
 
Kumbe hadi waziri mkuu ni jauHu
Hapa ni ccmni. Ukitaka kuelewa, rudi hatua moja tu ufike kibao kinaonyesha Mjengoni. Ukifika Mjengoni, nenda mtaa wa "TAMISEMINI AWAMU YA NNE", ndipo utaelewa huyu ni nani. Kutoka TAMISEMINI AWAMU YA NNE", utaona njia ya kichochoro iliyochongwa kiaina ndani kwa ndani ikatokezea "MAGOGONI". Kama wewe ni mfuatiliaji, tafuta clip moja "MAUZI MZEE" akishangilia mchongo kwamba "Nyuki katua kwenye mzinga wa babu, tule asali".

Umewahi kujiuliza "Nini hatma ya WIZI wa mabilioni ya fedha aliotaarifiwa na yeye kuutangaza katika 'wizara ya fedha?". Hawezi kuwajibisha wizi wala ufisadi wowote. Ukisikia anasema, ni makelele tu ya kisiasa. Hakuna kitu hapo. Ni mchongo wa uwakilishi na utetezi wa familia ile ile ya mafisadi wauza nchi.
 
Eti Abanwa na Kuirejesha chap chap Mr. Muongo
 
Pole January Makamba naona umetafutwa sana..now umepatikana.. wachache watalijua hili. Ulikuwaga mbunge mzuri tu..
Hivi huyu kapona, Nape mac kurudisha nasikia lile line hilux walimpokonya akiwa kwenye sherehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…