Haya hapa matukio yanayohusishwa na ushirikiana Mechi ya Simba SC na Jwaneng Galaxy FC

Haya hapa matukio yanayohusishwa na ushirikiana Mechi ya Simba SC na Jwaneng Galaxy FC

Unacho kifanya ni ushabiki wa kipumbavu, kila baada ya muda unaweka uzi kuiponda simba kuhusu mchezo wao wa jana,huo ni utoto. Hata kama unaipenda yanga siyo kwa ujinga unao onyesha hapa.

Jaribu kubadilika.
SIWEZI KUBADILIKA KWENYE UKWELI.
TIMU INAFANYA ULOZI TUSIONGEE?!
DAH SUALA LA KUANDIKA KILA MUDA BANDO NI LANGU.
 
Unataka tukusaidieje???
Pambana na Makirikiri yako
 
Kumbe nakusifiaga una akili kumbe ndo wale wale..huna akili...
 
Back
Top Bottom