Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Juma Nature anaipenda sana, na yeye ni wakunyumba?No 78, wakunyumba!
Bombii nyumbii
Hapanaa sifahamu kwa kweli.Hii Juma Nature anaipenda sana, na yeye ni wakunyumba?
Hao ni wakenyaWagunya, wasomali
Kuungua meno sio ID ya ukabila.Kwanini
Au kisa sijaungua meno 🤣
Unamaanisha maxence ni Mchagga? Na sio mhaya!Wachagga(admin wenu wa page hii maarufu zaidi kwa sasa tz "Dunia Ina Mambo" pia ni mangi wa old moshi kidia)
Uarushani ni pande zipi mkoani Kilimanjaro? Nataka nikafanye utafiti fulani huko!Kule kilimanjaro inajulikana makabila ni mawili tu wachaga na wapare kumbe kuna makabila mengine yapo kule. Kuna wakahe wapo Kahe, kata za kahe mashariki na magharibi. Kuna waarusha wapo kata ya Arusha Chini/TPC na sehemu za mtakuja na mabogini. Kuna wamasai ukanda wa Moshi chini /TPC. Kilimanjaro kuna maeneo yanayojulikana kama uchagani, upareni, uarushani na umasaini.