Haya hapa ndio makabira 125 Tz , je we uko namba ngapi hapo

Haya hapa ndio makabira 125 Tz , je we uko namba ngapi hapo

Kule kilimanjaro inajulikana makabila ni mawili tu wachaga na wapare kumbe kuna makabila mengine yapo kule. Kuna wakahe wapo Kahe, kata za kahe mashariki na magharibi. Kuna waarusha wapo kata ya Arusha Chini/TPC na sehemu za mtakuja na mabogini. Kuna wamasai ukanda wa Moshi chini /TPC. Kilimanjaro kuna maeneo yanayojulikana kama uchagani, upareni, uarushani na umasaini.
Uarushani ni pande zipi mkoani Kilimanjaro? Nataka nikafanye utafiti fulani huko!
 
Hakuna makabila 125+ Tanzania.ni propaganda tu.

Je mzee Samia anaingia kwny kabila lipi..
Maana hata yeye ni sehemu ya jamii zilizopo Tanzania.

NB; Mzee ni binadamu yeyote mwny umri above 60+
 
Sisi Wahindi wa Punjab na Wagoa tupewe kabila maana tumezaliwa hapa. Wapo pia Washirazi.
 
Back
Top Bottom