Haya huyo wenu wa CIA mnayemuami kwamba ni mkweli, aletwe sakata la Tundu Lisu!

Haya huyo wenu wa CIA mnayemuami kwamba ni mkweli, aletwe sakata la Tundu Lisu!

Wewe mleta uzi ni clueless kabisa. CIA ni spying agency, haijishughulishi na crimes investigation. Kama serikali ikiiomba US usaidizi wa upelelezi wa tukio lolote kubwa la jinai basi it is likely watatumwa maofisa wa FBI. Mfano, baada ya mauaji ya Robert Ouko, Kenya waliomba msaada wa Scotland Yard na sio M15 (spying agency). Watanzania mpende kujisomea kuepuka hizi pumba, kutwa mnatafuta umbea na udaku.
 
Thank you too comrade! But two wrongs do not make a right as we vividly see a complete destruction of Iraq as a state and massive suffering of civilians in that country with no end in sight. This is a generational mistake. It could have been managed differently were it not the US taking matters in its own hands supported by a handful of allies. South Africa is a good living example.
Of course, somehow I can see your points.

It's irrefutable fact, that the results of suffering and turmoils in Iraq have to some extent caused by the US simply because she took advantage of eliminating those notorious to loot and plunder what is potential there.

US are to be blamed for taking that said advantage and leave behind strings of chaos.

While Middle East Countries are to be blamed for harboring and bestowing terrorists who puts the world at stake.

Anyways, comes rain or sun shine, the laws of nature should always takes place " survival for the fittest and vanishing for the weakest"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pennsylvania,
Nakubaliana ba wewe comrade japo kwa shingo upande ! 😌 We would otherwise wish to see the world without human suffering! Unfortunately that is not the living reality! Asie na nguvu ampishe mwenye nguvu.
 
Wewe mleta uzi ni clueless kabisa. CIA ni spying agency, haijishughulishi na crimes investigation. Kama serikali ikiiomba US usaidizi wa upelelezi wa tukio lolote kubwa la jinai basi it is likely watatumwa maofisa wa FBI. Mfano, baada ya mauaji ya Robert Ouko, Kenya waliomba msaada wa Scotland Yard na sio M15 (spying agency). Watanzania mpende kujisomea kuepuka hizi pumba, kutwa mnatafuta umbea na udaku.


Hahaha unaijua tofauti kati ya CIA na FBI?

Tofauti kubwa ni FBI ndani ya USA, CIA nje ya USA, hiyo ndiyo tofauti!
 
Kwani CIA huwa wanachunguza matukio ya uhalifu,FBI kazi yao ni Nini?
Na je unadhani wazungu hawawezi kujua ukweli wa ulichokificha?
Siamini Kama CCM sio kikundi Cha wachawi,maana Mana tabia zote za kichawi.ikiwa ni pamoja na hofu na mashaka.


Tofauti ya CIA na FBI ni kwamba FBI wanahusika na ndani ya USA na CIA wanahusika na nje ya USA!
 
CIA hawafanyagi uchunguzi wowote idara ya uchunguzi USA ni FBI na sio CIA. Hivyo inaelekea huyui hilo


FBI hawahusiki na mambo ya nje ya USA, FBI ni home security, hivyo msaada wowote mtakaomba kama USA akikubali ni kazi ya CIA na siyo FBI!
 
Chadema na wengineo wanataka CIA waletwe nchini kuchunguza waliomshambulia Tundu Lisu, wanasema Muzungu hadaganyi na kuita eti uchunguzi huru na hawana imani na watu wetu wa Tanzania, sasa huyo ni aliyekuwa Top Boss wa CIA Mike Pompeo akitupa mbili tatu zake kuhusu wanavyofanya kazi kama CIA, ...

I was the CIA director, we lied, we cheated, we stole, ... Mike Pompeo.

Kwa hizi akili za Maiti inawezekana kabisa na wewe ni RC ama DC
Bongo kuna Maajabu sana

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Umeelewa lakini alichokisema? Huyo alikuwa Top Boss wa CIA, amesema ,, I was the CIA director, we lied, we cheated, we stole, ...“
Wamemdanganya nani ?
Wamemuibia nani ?

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Kwa hizi akili za Maiti inawezekana kabisa na wewe ni RC ama DC
Bongo kuna Maajabu sana

Sent from my SM-A207F using Tapatalk


Kwa nini? fafanua kulingana mada husika kama ukipenda.
 
Back
Top Bottom