Haya huyo wenu wa CIA mnayemuami kwamba ni mkweli, aletwe sakata la Tundu Lisu!

Wewe mleta uzi ni clueless kabisa. CIA ni spying agency, haijishughulishi na crimes investigation. Kama serikali ikiiomba US usaidizi wa upelelezi wa tukio lolote kubwa la jinai basi it is likely watatumwa maofisa wa FBI. Mfano, baada ya mauaji ya Robert Ouko, Kenya waliomba msaada wa Scotland Yard na sio M15 (spying agency). Watanzania mpende kujisomea kuepuka hizi pumba, kutwa mnatafuta umbea na udaku.
 
Of course, somehow I can see your points.

It's irrefutable fact, that the results of suffering and turmoils in Iraq have to some extent caused by the US simply because she took advantage of eliminating those notorious to loot and plunder what is potential there.

US are to be blamed for taking that said advantage and leave behind strings of chaos.

While Middle East Countries are to be blamed for harboring and bestowing terrorists who puts the world at stake.

Anyways, comes rain or sun shine, the laws of nature should always takes place " survival for the fittest and vanishing for the weakest"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pennsylvania,
Nakubaliana ba wewe comrade japo kwa shingo upande ! 😌 We would otherwise wish to see the world without human suffering! Unfortunately that is not the living reality! Asie na nguvu ampishe mwenye nguvu.
 


Hahaha unaijua tofauti kati ya CIA na FBI?

Tofauti kubwa ni FBI ndani ya USA, CIA nje ya USA, hiyo ndiyo tofauti!
 
Kwani CIA huwa wanachunguza matukio ya uhalifu,FBI kazi yao ni Nini?
Na je unadhani wazungu hawawezi kujua ukweli wa ulichokificha?
Siamini Kama CCM sio kikundi Cha wachawi,maana Mana tabia zote za kichawi.ikiwa ni pamoja na hofu na mashaka.


Tofauti ya CIA na FBI ni kwamba FBI wanahusika na ndani ya USA na CIA wanahusika na nje ya USA!
 
Kirefu cha C.I.A ni Central Intelligence Agency. Na hii intelligence sio ya akili bali ni ya ujasusi. Hawa ni majasusi sio mapolisi.

Amandla.......


Sasa mlitaka nani aje kuchunguza?
 
CIA hawafanyagi uchunguzi wowote idara ya uchunguzi USA ni FBI na sio CIA. Hivyo inaelekea huyui hilo


FBI hawahusiki na mambo ya nje ya USA, FBI ni home security, hivyo msaada wowote mtakaomba kama USA akikubali ni kazi ya CIA na siyo FBI!
 
Kwa hizi akili za Maiti inawezekana kabisa na wewe ni RC ama DC
Bongo kuna Maajabu sana

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Umeelewa lakini alichokisema? Huyo alikuwa Top Boss wa CIA, amesema ,, I was the CIA director, we lied, we cheated, we stole, ...“
Wamemdanganya nani ?
Wamemuibia nani ?

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Kwa hizi akili za Maiti inawezekana kabisa na wewe ni RC ama DC
Bongo kuna Maajabu sana

Sent from my SM-A207F using Tapatalk


Kwa nini? fafanua kulingana mada husika kama ukipenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…