Haya jamani sukari hiyo Kanda ya Ziwa

Namba ni ya nini wakati kila sehem bei iko juu

TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!
 
Wabongo bana daaaa, yaani kushushwa mwanza washasema 'mwamba ngoma kavutia kwake daa!'
 
Mi binafsi sukari ya kiwandani situmi rai yangu kwa WATANZANIA wasomi wanaojua nini mana ya afya kuchana nazo.tumia asali .Mimi natumia asali ya nyuki wadogo yakienyeji kabisa

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Hahaa kwa hiyo ni dar na mwanza pengine ni mikoani.. Tunatangaza rasmi Mwanza pasiitwe mkoani tena😊😊😊
 
Mi binafsi sukari ya kiwandani situmi rai yangu kwa WATANZANIA wasomi wanaojua nini mana ya afya kuchana nazo.tumia asali .Mimi natumia asali ya nyuki wadogo yakienyeji kabisa

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Umepatia sana kuhusu sukari lakini hiyo ccm umeingia chaka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…