Haya jamani sukari hiyo Kanda ya Ziwa

Haya jamani sukari hiyo Kanda ya Ziwa

MATEGUZYO

Member
Joined
Sep 5, 2019
Posts
44
Reaction score
17
bashu.PNG
 
Namba ni ya nini wakati kila sehem bei iko juu

TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!
 
Wabongo bana daaaa, yaani kushushwa mwanza washasema 'mwamba ngoma kavutia kwake daa!'
 
Mi binafsi sukari ya kiwandani situmi rai yangu kwa WATANZANIA wasomi wanaojua nini mana ya afya kuchana nazo.tumia asali .Mimi natumia asali ya nyuki wadogo yakienyeji kabisa

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Hahaa kwa hiyo ni dar na mwanza pengine ni mikoani.. Tunatangaza rasmi Mwanza pasiitwe mkoani tena😊😊😊
 
Mi binafsi sukari ya kiwandani situmi rai yangu kwa WATANZANIA wasomi wanaojua nini mana ya afya kuchana nazo.tumia asali .Mimi natumia asali ya nyuki wadogo yakienyeji kabisa

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Umepatia sana kuhusu sukari lakini hiyo ccm umeingia chaka sana.
 
Back
Top Bottom