Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
SawaHabarini wana JF, Kiufupi mi Shughuli zangu za kutafuta Coins nazifanyia tu hapa hpa mtaa Fulan hku Dodoma ila zilipita sku nyingi kidogo kam Mwezi hvi sijaenda Town,
sasa Leo nikaona acha niende huko mjini kununua mahitaji kidogo Aisee nimeshtushwa kidog baad ya kila kona nayopita kweny barabara nakutana na mfano wa Aina hiyo ya Mabango (picha ipo Chini) (Mabango ya Dom sikufanikiwa kupiga picha) mpk nkashtuka nikasema nn hiki kinaendelea tena!.
NB: Wayaongeze hayo Mabango maan mbona ni Machache sana
UZI TAYARI
Kwa watu mliopo nje ya Jiji hili maarufu nchini Tanzania basi majengo hayo mnayo yaona mawili yamefanana yanaitwa PSSSF TWIN TOWERS ambayo yapo katikati ya Barbara ya Samora na Sokoine Drive katikati ya mtaa uitwao Mission street.Habarini wana JF, Kiufupi mi Shughuli zangu za kutafuta Coins nazifanyia tu hapa hpa mtaa Fulan hku Dodoma ila zilipita sku nyingi kidogo kam Mwezi hvi sijaenda Town,
sasa Leo nikaona acha niende huko mjini kununua mahitaji kidogo Aisee nimeshtushwa kidog baad ya kila kona nayopita kweny barabara nakutana na mfano wa Aina hiyo ya Mabango (picha ipo Chini) (Mabango ya Dom sikufanikiwa kupiga picha) mpk nkashtuka nikasema nn hiki kinaendelea tena!.
NB: Wayaongeze hayo Mabango maan mbona ni Machache sana
UZI TAYARI