Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Mimi nimechana na kadikuanzia sasa najitoa rasmi kwenye ushabiki wa mpira kwama ni hivi
Umechelewa sana mkuu.kuanzia sasa najitoa rasmi kwenye ushabiki wa mpira kwama ni hivi
Huu ni upuuzi mwingine wa wanasiasa kupora kila tukio. Mimi ni mpenzi wa yanga ila kwa hili nimekwazika sana. Tupo wanayanga wengi tuisio wanaccm lazima tuheshimiweHaya mambo ndomana tunaonekana watanzania wote wehu tu, yani bila kutumia liubongo Lako unakalisha msambwanda kubeba mubango wa kilofa kusifu vitu ambavyo havipo. Sasa kwenye michezo ya yanga na vipers au timu yoyote Ile mama anaingiaje. Tena mnaweka wageni rasmi wa mifisiemu. Kwanzia leo najitoa kwenye haya maklabu ya bongo maana mmekuwa kama mazuzu vile. View attachment 2316540View attachment 2316542View attachment 2316543View attachment 2316545View attachment 2316547
Ndo maana yanafungwa, hizi timu Hasa simba na yanga zinaleta zinaleta siasa kwenye soka BILA kujali kwamba katika mashabiki wao wengine hawana vyama na wengine wanaitikadi na tofauti za vyama, shame on themHaya mambo ndomana tunaonekana watanzania wote wehu tu, yani bila kutumia liubongo Lako unakalisha msambwanda kubeba mubango wa kilofa kusifu vitu ambavyo havipo. Sasa kwenye michezo ya yanga na vipers au timu yoyote Ile mama anaingiaje. Tena mnaweka wageni rasmi wa mifisiemu. Kwanzia leo najitoa kwenye haya maklabu ya bongo maana mmekuwa kama mazuzu vile. View attachment 2316540View attachment 2316542View attachment 2316543View attachment 2316545View attachment 2316547
Kama wagalatia wasio na akili wanavyosherehekea sikukuu za mabeberuTanzania ujinga ni mkubwa Sana ndio maana hata wavaa kobazi wanasherekea siku za waarabu
Unajizima data sindio, inamana huwa huyaoni mabango ya Samia na ccm kwenye mechi za simba. Subiri simba dayMatukio yote hapo kwenye picha yako ni ya Yanga SC, sijui kwanini umewaweka Simba SC kwenye hili, au kama unao uthibitisho wa picha toka Simba SC tuwekee hapa tuuone, kama hauna moderators wa edit kichwa cha habari yako.
Lile lihuni ndolinaharibu kila kituYote kayaleta manara!
Haya mambo ndomana tunaonekana watanzania wote wehu tu, yani bila kutumia liubongo Lako unakalisha msambwanda kubeba mubango wa kilofa kusifu vitu ambavyo havipo. Sasa kwenye michezo ya yanga na vipers au timu yoyote Ile mama anaingiaje. Tena mnaweka wageni rasmi wa mifisiemu. Kwanzia leo najitoa kwenye haya maklabu ya bongo maana mmekuwa kama mazuzu vile. View attachment 2316540View attachment 2316542View attachment 2316543View attachment 2316545View attachment 2316547