Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kidogo tumeanza kubadilika
Majuzi nilisafiri na basi moja to Arusha
Wakataka details zangu hamad nikaweka alarm, yaani sijaamka
Nasikia simu habari naviga toka kampuni fulani safari yako ni saa tukukute kituo fulani muda wa kuamka sasa
Nilipenda sana nikatamani na ndege mtuamshe hivi maana zile penalty zenu zinachosha
Majuzi nilisafiri na basi moja to Arusha
Wakataka details zangu hamad nikaweka alarm, yaani sijaamka
Nasikia simu habari naviga toka kampuni fulani safari yako ni saa tukukute kituo fulani muda wa kuamka sasa
Nilipenda sana nikatamani na ndege mtuamshe hivi maana zile penalty zenu zinachosha