kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Umekariri?Nani kakuambia ni Tata?Binafsi sifurahishwi na muundo wa bodi za mabus wanayopewa Simba.
Haya mabodi yamekaa kishamba sana.Utaona hakuna ubunifu sehemu ya mbele ubavuni.Ni kama nafasi ilibaki wazi wakaanza kuweka viraka.
Hebu angalieni hata muundo wa mabus ya mwendokasi mwonekano wake kwa nje ni mzuri sana.Kukubali kununua au kupewa bus aina ya Tata ni kushusha hadhi ya timu na kuwatangazia tu biashara yao ya mabus ya kishamba shamba namna ile
Golden dragon ina body ya kishambaBinafsi sifurahishwi na muundo wa bodi za mabus wanayopewa Simba.
Haya mabodi yamekaa kishamba sana.Utaona hakuna ubunifu sehemu ya mbele ubavuni.Ni kama nafasi ilibaki wazi wakaanza kuweka viraka.
Hebu angalieni hata muundo wa mabus ya mwendokasi mwonekano wake kwa nje ni mzuri sana.Kukubali kununua au kupewa bus aina ya Tata ni kushusha hadhi ya timu na kuwatangazia tu biashara yao ya mabus ya kishamba shamba namna ile
Mwenzako kafungua uzi asema Simba wamekopa wewe ya kishamba.Hivi mnateseka mkiwa wapi?Binafsi sifurahishwi na muundo wa bodi za mabus wanayopewa Simba.
Haya mabodi yamekaa kishamba sana.Utaona hakuna ubunifu sehemu ya mbele ubavuni.Ni kama nafasi ilibaki wazi wakaanza kuweka viraka.
Hebu angalieni hata muundo wa mabus ya mwendokasi mwonekano wake kwa nje ni mzuri sana.Kukubali kununua au kupewa bus aina ya Tata ni kushusha hadhi ya timu na kuwatangazia tu biashara yao ya mabus ya kishamba shamba namna ile
Mpaka leo bado tu makorokoro fc wanatembelea mabasi ya kichina
Yanga ana Marcopolo Irizar sasa nenda ka goggle manufacturer ni kampuni ganiKumbe ambao Bado munaamini Yanga kanunua Scania mupo πππ
HahahahahaBinafsi sifurahishwi na muundo wa bodi za mabus wanayopewa Simba.
Haya mabodi yamekaa kishamba sana.Utaona hakuna ubunifu sehemu ya mbele ubavuni.Ni kama nafasi ilibaki wazi wakaanza kuweka viraka.
Hebu angalieni hata muundo wa mabus ya mwendokasi mwonekano wake kwa nje ni mzuri sana.Kukubali kununua au kupewa bus aina ya Tata ni kushusha hadhi ya timu na kuwatangazia tu biashara yao ya mabus ya kishamba shamba namna ile
Yanga ana Marcopolo Irizar sasa nenda ka goggle manufacturer ni kampuni gani
Nyie utopox mnatembelea la kihindiMpaka leo bado tu makorokoro fc wanatembelea mabasi ya kichina
kunywa sumu kama unabisha koloserious [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]