Haya mabus ya Simba mbona bodi zake za kishamba kushamba tu? Huwa hamuoni mabus ya Ulaya?

Haya mabus ya Simba mbona bodi zake za kishamba kushamba tu? Huwa hamuoni mabus ya Ulaya?

aya nyie mautopolo tuoneshenj basi hilo la kwenu G7 tulione
 
Yashafika mbasi matano week ijayo mkataba na kampuni ya boat kabisa maana angani n ardhini tayari
 
Binafsi sifurahishwi na muundo wa bodi za mabus wanayopewa Simba.
Haya mabodi yamekaa kishamba sana.Utaona hakuna ubunifu sehemu ya mbele ubavuni.Ni kama nafasi ilibaki wazi wakaanza kuweka viraka.
Hebu angalieni hata muundo wa mabus ya mwendokasi mwonekano wake kwa nje ni mzuri sana.Kukubali kununua au kupewa bus aina ya Tata ni kushusha hadhi ya timu na kuwatangazia tu biashara yao ya mabus ya kishamba shamba namna ile
Na basi mazuri sana

Super luxury
 
Binafsi sifurahishwi na muundo wa bodi za mabus wanayopewa Simba.
Haya mabodi yamekaa kishamba sana.Utaona hakuna ubunifu sehemu ya mbele ubavuni.Ni kama nafasi ilibaki wazi wakaanza kuweka viraka.
Hebu angalieni hata muundo wa mabus ya mwendokasi mwonekano wake kwa nje ni mzuri sana.Kukubali kununua au kupewa bus aina ya Tata ni kushusha hadhi ya timu na kuwatangazia tu biashara yao ya mabus ya kishamba shamba namna ile
Ayo mabasi ya mkopo uwezi kumpangia mtu anaekupa kitu chenye makandokando kwamba akupe kizuri, ukimiliki mbumbumbu wanne nyumbani kwako ujue ni hasara kubwa sana
 
aya nyie mautopolo tuoneshenj basi hilo la kwenu G7 tulione

FAEtooOWQAAtAlJ.jpeg
 
Kuna utani na kuna ujinga,hili la Scania Irizar Utopoloni ni ujinga,sasa why nipoteze muda wangu kubishana.
Lakini Tata zenu ni ujanja.
Mama kolo utakufa kwa wivu huu mwaka subiri leo tufumue pale aliposhona beleke
 
Back
Top Bottom