Haya machungu tuliyonayo kwenye hizi timu. Tungekuwa nayo katika kupambania Nchi yetu hakika tungekuwa mbali sana

Haya machungu tuliyonayo kwenye hizi timu. Tungekuwa nayo katika kupambania Nchi yetu hakika tungekuwa mbali sana

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351



Inasikitisha sana kuona kijana analia kisa timu yake imefungwa.

Lakini huyo huyo kijana hutamuona kamwe katika harakati za kupambana na kupinga viongozi wanao kula pesa za uma!!

Unadhani kama sio sisi Nchi yetu itajengwa na nani? Nani atapambana Kwa niamba yetu kuhakikisha tuna time huru ya uchaguzi? Kuhakikisha tuna katiba mpya?

Nimepita katika mitandao kadhaa ya kijamii nimeona watu wanauchungu sana na hizi timu za kariakoo. Binafisi hata Mimi ni mshabiki wa mpira lakini hii level ya vijana wenzangu inaniondolea matumaini ya kujenga Nchi yetu.

Shuhudia mwenyewe.
 
Mwanasheria mmoja alisema tunatambua kanuni za fifa kuliko katiba ya Nchi
 
Back
Top Bottom