Wengi bado wana maagano ya ajabu ajabu na mizimu yao huko milimani,,hawa jamaa waone tu hivihivi ila wana mambo ya ajabu ya chini chini na kikubwa unakuta mizimu yao huko milimani ndo inawapelekesha............jamii za huko ngono baina ya ndugu na ndugu mseleleko tu,,,,ndo muwe makini na zile hija za mwezi wa 12 kama umeoa huko na we sio wa huko akienda huko wanatafunana hasa wale waliokua pamoja tokea udogoni,,we utatambulishwa tu huyu mtoto sijui wa mjomba ila nyuma ya pazia wanakulana kimasihara kwenye hija