JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Hiki chumba tu cha kaburi ni kikubwa mara mbili ya wastani wa darasa la kawaida la shule za kata.
Gharama zisizo na ulazima, ukiongeza hayo madirisha ya grilli na aluminum katika eneo ambalo lina ulinzi wa kutosha labda vioo pekeyake vingetosha lakini wabongo kama jadi yetu sikuhizi kwa unnecessary mbwembwe sijui ametuloga nani.
Tulianza na Nyerere na kale kakibanda kadogo juu ya kaburi basi kila anayefuata anamu outshine.
Gharama zisizo na ulazima, ukiongeza hayo madirisha ya grilli na aluminum katika eneo ambalo lina ulinzi wa kutosha labda vioo pekeyake vingetosha lakini wabongo kama jadi yetu sikuhizi kwa unnecessary mbwembwe sijui ametuloga nani.
Tulianza na Nyerere na kale kakibanda kadogo juu ya kaburi basi kila anayefuata anamu outshine.