Haya madirisha ya chuma kwenye nyumba ya kaburi la Hayati yana kazi gani?

Haya madirisha ya chuma kwenye nyumba ya kaburi la Hayati yana kazi gani?

Acha ujuha wewe Kuna vitu sio vya kuhoji hata, Mzee wangu mwenyewe tumemjengea nyumba kwenye kaburi lake, kama familia tumeamua ivo na hatujamkwaza mtu, magufuli hata asingejengewa na serikali unadhani familia yake ingetaka wangeshindwa kujenga hicho kinyumba???

Sa ivi tukomae na Hawa majizi wanaoiba mabilioni Kila siku wanasema mikopo hayo ya magufuli yalishapita
 
Bado hajazikwa hapo yupo chini ya kanisa kwenye mashelfu huko.
Duniani Kuna Mambo Sana Kwahiyo Wametunza Maiti Yake Kwaajili Gani Ama Wanaendelea Kumtumia Bado Hii Maana Yake Wafalme/Malkia Wote Wa Uingereza Bado Hawajazikwa
 
Acha ujuha wewe Kuna vitu sio vya kuhoji hata, Mzee wangu mwenyewe tumemjengea nyumba kwenye kaburi lake, kama familia tumeamua ivo na hatujamkwaza mtu, magufuli hata asingejengewa na serikali unadhani familia yake ingetaka wangeshindwa kujenga hicho kinyumba???

Sa ivi tukomae na Hawa majizi wanaoiba mabilioni Kila siku wanasema mikopo hayo ya magufuli yalishapita
Wewe unaweza kumjengea babako ghorofa ila kwa kiongozi wa uma ngazi ya raisi inaleta impression mbaya sana kwa taifa kwa watu wanaotutazama wanaona kama ulimbukeni wa kujikweza katikati ya lindi la umaskini hakuna tofauti na dikteta Mobutu
 
Wakati magufuli anapelekwa shule na babu yake, kumbuka na wewe baba yako alipelekwa shule ila akajitia muhini na vipank vyake na masuruali makubwa. Alijiona yeye ndio mwamba, saivi kila familia ile ilichopanda. ACHA MAKASIRIKO
Kwa akili yako unazani magu ndo msomi kuliko nchi nzima mbona saanane alihoji phd feki akapotea? Binafsi ninaelimu zaidi ya babaako
 
Hakikisha umeandaa na kuacho wosia mzuri.

Wasitumie Gharama zezote zile za Serikali.

Mmeku
 
Kwa akili yako unazani magu ndo msomi kuliko nchi nzima mbona saanane alihoji phd feki akapotea? Binafsi ninaelimu zaidi ya babaako
Sikatai una vyeti kuliko baba yangu, lakini huna akili/maarifa kumzidi baba yangu
 
Hiki chumba tu cha kaburi ni kikubwa mara mbili ya wastani wa darasa la kawaida la shule za kata.

Gharama zisizo na ulazima, ukiongeza hayo madirisha ya grilli na aluminum katika eneo ambalo lina ulinzi wa kutosha labda vioo pekeyake vingetosha lakini wabongo kama jadi yetu sikuhizi kwa unnecessary mbwembwe sijui ametuloga nani.

Tulianza na Nyerere na kale kakibanda kadogo juu ya kaburi basi kila anayefuata anamu outshine.

View attachment 2809752
Jamaa taqo bado lipo hahaa
 
Wewe unaweza kumjengea babako ghorofa ila kwa kiongozi wa uma ngazi ya raisi inaleta impression mbaya sana kwa taifa kwa watu wanaotutazama wanaona kama ulimbukeni wa kujikweza katikati ya lindi la umaskini hakuna tofauti na dikteta Mobutu
Ndo maana nikasema hata serikali wasifanya hivo familia kama ingetaka ingeshindwa?? Acheni ulimbukeni wa kijuha nyinyi... Magufuli Kawa waziri zaidi ya miaka 20 afu kaja kua rais hebu acha familia wampumzishe mahali ambapo Wanaona wao anastahili
 
Back
Top Bottom