Haya mafuta ni hatari sana

mbona hujaeleweka,fafanua

Nakwenda_Zimbabwe
 
Hizi post za kipuuzi sijui mnatoa wap.
Mtu unatoa post hovyo hovyo alafu hujui kiswahili.
Atari ndio nn?
Na huna maelezo ya kueleweka.
Nyambafu
 
Mbona yapo kny list ya mafuta yaliyokatazwa kutumika hapa nchini?
Kama sikosei yanatengenezwa kinshasa,DRC.
 
Mkuu Usiwe unaandika vitu kwa namna inayokuwa vigumu msomaji kukuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…