Msishangae
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 363
- 267
Kwani bei yake halisi kwa mafuta og ni sh.ngapi?Jana niliona Buguruni mafuta ya kupikia yapo kama ya alizeti kabisa yameenea kila mahali sokoni wanauza 4200 kwa lita jee ni mafuta kweli
Nilitaka kununua ila niliingiwa na wasiwasi sana