Haya magazeti: Eti Alikiba amzidi Diamond kwa utajiri!!

Wenye pesa Tanzania wako kimya wanapiga kazi tu wala huwaoni kwenye magazeti.
 
Labda utajiri wa watoto ndio anamzidi.toka ameanza mziki mafanikio yke hayaonekani .
Juzi tumesikia katoa 21m cjui ya congo mana mpka leo anaishi kwa ugali wa foleni kwao
 
Wangeandika Diamond amzidi utajiri Alikiba isingeuza maana its obvious, Hiyo ni sawa na kusema Simba kamla binadam thats obvious, ila Binadam Kamla Simba hiyo ndo habari inayoweza kuuza zaidi. Kwahiyo hongeramwandishi kwa ubunifu
 
Hili gazeti sidhani kama habari zake ni za kweli bora ya shigongo
 
uhuu utajiri wa kwenye magazeti noma, kuna siku unasikia mwanagu tifa ana mil 400, mie nina 2b yaani full kuchekesha,
 
Ni kweli mkuu, sema pesa zake kazifukia chini hataki show off.
 
Wenye pesa Tanzania wako kimya wanapiga kazi tu wala huwaoni kwenye magazeti.
Jay Z anajulikana zaidi ya mabillionare kibao . Ogopa nguvu ya muziki hata shetani alikuwa mwanamuziki mbinguni kabla k uasi
 
Kwan hilo nalo la kubisha?kwan kat ya mfalme kiba na mondi nan altoa hela nyng kwny kusaidia watu wasiojiweza
 
Utajiri unapimwa kwa idadi ya assets ambazo uko nazo. Huenda Kiba amewekeza zaidi ya Mondi. Tusitumie udhamini wa makampuni au majumba ya kuishi kama vigezo vya kupima utajiri. Wapo wasio na majumba makubwa ila wamewekeza kwenye nyanja tofauti.
 
Wangeandika Diamond amzidi utajiri Alikiba isingeuza maana its obvious, Hiyo ni sawa na kusema Simba kamla binadam thats obvious, ila Binadam Kamla Simba hiyo ndo habari inayoweza kuuza zaidi. Kwahiyo hongeramwandishi kwa ubunifu

very true
 
Gazeti la Wembe ndio habari ya mujini. Hata Presidaa lazima alisome everyday kabla kuanza shughuli zake za kiofisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…