Haya magonjwa yanatukatisha tamaa

Haya magonjwa yanatukatisha tamaa

Uta Uta

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2016
Posts
3,740
Reaction score
8,751
Habari wanajamvi?
Tumepoteza ndugu, jamaa na marafiki kutokana na magonjwa ila mbaya zaidi unakuta magojwa fulani yanawandama zaidi tabaka fulani.

Kuna huu ugonjwa wa figo na kifua haya magonjwa yanaonekana kuwasumbua sana matajiri na wasanii. Matajiri wengi wamekufa kwa tatizo la figo na wasanii wengi wamefariki kwa kifua.

Sasa najiuliza labda harufu ya mihela ile waliyonayo matajiri labda inaharibu figo? Au wasanii kuokakana na vumbi jukwaani na mda mwingi wanaongea ngea labda ndiko kunakowasabibishia kifua? Imefika mda hadi mtu unaogopa kuwa tajiri. Jamani wadau kwanini magonjwa haya yanathiri zaidi tabaka hizi?
 
Nina Babu zangu huko vijijini.mmoja anavuta tumbaku kwa zaidi ya miaka 50 lakini Hana hata dalili za kusumbuliwa na kifua nabkuna mwingine kaanza kunywa pombe bado kijana mdogo Tena ile gongo Leo hii Ana miaka 77.kaenda hospital SI Zaid ya Mara tano..hata kuugua tu KWAKE hakunaga
 
Hakuna ugonjwa wa Tajiri ama maskini siku hizi ndugu

Sent from my Iphone using Tapatalk
 
Sir god nae anaona mbali kwa sis tulio maskin anajuaga kiumbe Changu saiv kikiumwa hela hakina si kitakufa tu ndo maana wengine hatulali kwenye net malaria hatuumwi matajil Sasa wasip lala tu kwenye net bas kwisha habar no mipang ya mungu iyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa yani,ukakaa ukawaza haya....daah kwa kweli acha Lowasa arudi nyumban tu
 
Habari wanajamvi?
Tumepoteza ndugu, jamaa na marafiki kutokana na magonjwa ila mbaya zaidi unakuta magojwa fulani yanawandama zaidi tabaka fulani. Kuna huu ugonjwa wa figo na kifua haya magonjwa yanaonekana kuwasumbua sana matajiri na wasanii. Matajiri wengi wamekufa kwa tatizo la figo na wasanii wengi wamefariki kwa kifua. Sasa najiuliza labda harufu ya mihela ile waliyonayo matajiri labda inaharibu figo? Au wasanii kuokakana na vumbi jukwaani na mda mwingi wanaongea ngea labda ndiko kunakowasabibishia kifua? Imefika mda hadi mtu unaogopa kuwa tajiri. Jamani wadau kwanini magonjwa haya yanathiri zaidi tabaka hizi?
Maskini wanakufa kila siku kwa matatizo ya figo,ini,kibofu,tumbo nk sema kwa kuwa hawana umaarufu huwezi kujua.. huduma za afya,itunzaji mazingira mipango mizuri ya makazi ndio sululisho la maisha bora na umri wa kuishi.
Siku hizi tunakula mboga zimelimwa kwenye majalala unakuta zina "toxic substance" za betri za simu,radio,mabaki ya bidhaa za plastiki,elektroniki nk jumlisha bidhaa za viwanda ambazo sio natural organic niambie kama figo na ini zitakuwa salama.. Ongeza pombe kali,mauozo ya mabaki ya chakula,mitaro kukaa mauozo bakteria wabaya kila kona na magonjwa ya kuambukizana bado yanatunyemelea..
 
Back
Top Bottom